Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

sawa shemu
 
Mungu anaziona struggle zako kwakweli akusaidie sana
Uyu Dada namashaka nae unaweza kuta dume linataka piga pesaa tyu uko pm..MOD mshungulikieni uyu mtu

sent from my iPhone 6
 
Hali ngumu mpaka wanaume wamegoma kutongoza watu wanajifia na genye mitaani kweli tunaisoma namba, wanawake tutembee na mabango Kama Yule mama WA kikenya Hali tata.
muanze tu
 
Uyu Dada anamizinga nenda uko uonee ila nawasiwasi ni jidume

sent from my iPhone 6
 
Hali ngumu mpaka wanaume wamegoma kutongoza watu wanajifia na genye mitaani kweli tunaisoma namba, wanawake tutembee na mabango Kama Yule mama WA kikenya Hali tata.
Mbn wewe umenikataa
 
Me sijatoa fursa, changamka maana pm Folen haijawa Kubwa.
Hahahaaaa .... mimi siwezi kupanga foleni ya usahili. Nikaona bora nifanye application ya unsolicited vacancy. Yaani naomba ajira ambayo haijatangazwa. Unajua huu msemo "early bird gets the worm" meaning:
Whoever arrives first has the best chance of success; some opportunities are only available to the first competitors.
 
Weka picha yko wew kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…