Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Tatizo umesema rangi maji ya kunde, Mimi ni mjaruo mweusi tiiiiiiiiiiiiiiii.
 

Sijui ni kwanini 99.99999% ya Mabinti au Wanawake wanaotafuta Wapenzi wa Kiume Mitandaoni huwa ni ' magari ya mkaa ' tupu!
 
Wee toa namba waoaji tupo. Wee una wasiwasi gani?
 
Nilihisi nimepata mke sasa, duh!

Vigezo vyote ninavyo ila hicho cha mjasiliamali kimenikosesha mke.
Ngoja nianzishe biashara ili niwe nakaba baadhi ya vikwazo.

Ngoja niendelee kuvumilia.
 
Kule nilikwambia kuwa nikiambiwa wewe ni form 4 sitakubali.......

Nachelea kusema umedanganya elimu kwa mara nyingine.
 
Mimi hapa chaguo lako kutoka kwa Mungu,namuomba Mungu akuongoze uje PM.
 

Kihuba!
Ushampata au bado unamsaka? Tatizo lenu wasichana mnawapenda sana wanaume waongo kuliko wakweli.
 
Mkuu unafaa kuwa CIA. Kumbe anatuzingua tu eeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni Pm ila ntaanza kwa kukuajili kwanza nione performance yako kiuchumi ktk ofc yangu..baada ya kukuangalia utaniruhusu nimuweke mama yoyoo kando kdgo ili tujinafasi..baada ya hapo ndoa tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…