Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Ila nimemtafakari mleta mada nimemuhurumia, mnamshambulia bure mwenzenu bado yupo zama za mtandao wa mwaka 1998 wa marafiki.com.

Muelekezeni sehemu sahihi ya kuenda ikiwezekana hata aende Badoo huko akakutane na makonki wamchape matukio.
 
mimi nina sifa hizo karibu zote.ila wewe ukoje? .maana napenda weupe wa asili..flar screen pita mbali..msomi wa angalau chuo kikuu na mwenye kazi inayomlipa si chini ya m2 kwa mwezi.awe hajawahi kuzaa.awe na angalu na vits namba D.

kama unakidhi hivyo vigezo ni pm
 
Kuandika hujui. Nani anataka mwanamke mwehu kama wewe?
 
Mkuu kuna vigezo fulani fulani mtu huwa anakuwa navyo kutokana na umri wake.
Kwa mantiki hiyo mtoa mada anaonekana bado damu inachemka hivyo yupo kwenye kundi la ujana ambalo mara nyingi huwa ni kundi lenye mbwembwe nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…