Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Unataka kuwachora watu ili kesho upate uzi mpya wa kutusema mwanaume. Kama kweli upo serious weka CV yako ya mahusiano na maisha kwa ujumla ili wanaotaka wakujie pm kwa sababu nao wanazo sifa za wake zao watarajiwa. Mwisho fanya mchakato wa kubadili maombi. Soma Mwanzo 2 wakati Mungu anampa Adam mke, alimfanyia wa kufanana nae hivyo ulivyo bado una thamani kubwa sana na yupo unaefanana nae Mungu atakuletea Ila kuwa serious mwambie Mungu akupe wa kufanana na wewe. Nakupa unabii huu kama hutanii ukiomba nilivyokwambia Krismasi ya mwaka huu utasherekea ukiwa na wakufanana nae. Mungu ni mwaminifu huziangalia ahadi zake ili azitimize.
 
Haha hawa ni wale waliotumika sanaaaa mpaka engine zimeota kutu

Sasa wanakuja kwa style hii kutafta stara angalau na yeye aolewe
 
Mi naona kafanya jokes tuu kuna watu wanatafuta wachumba huku nakupata? Mmmh!!
 
Kwa ulivyoandika tu hapa napata image ya mwanamke msela msela hivi kama Sister P. Nimekumbuka mbali sana
 
Unavuta tela? Ama umekatwa nyuma kama Vits?

Sifa zote ninazo. Angalizo: Mwanamke asiye na 'banda la uwani' huwa sina stimu naye.

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…