Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Sifa za mwanaume ninae mtataka awe mcheshi,mkweli,mwenye nia ya dhati anae jitambua asiwe mwalimu wala daktari wala mwana sheria napenda mwanaume mjasiriamali,Mwenye sauti ya mahaba pia uume wake uwe umenyooka usipinde kwakua uwa sioni rahaa ya uuume ulio pinda tafandari kama nawakwaza

LABDA UTENGENEZE WA KWAKO WA UDONGO
 
Itakuwa huyu mwanamke sio mzuri kitabia na sura maana haiwezekani akose mchumba wakati sasahivi anatafuta mchumba kama mwezi wa pili humu
 
Aisee... huyu mtunz wa story ana vigezo vigumuu...
Labda nikusaidie tuu, huyo mwanaume sidhan kama anaweza kupatikana kiuhalisia.. huyo unaweza ukamtengeneza kupitia story... ila kiuhalisia hayupo...

endelea kuishi kwenye ulimwengu wako wa story.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpo na uzima wakuu leo naleta uzi kwenu,

Natafuta mume'

Mkristo na umri wake 29-40.
Awe maji ya kunde au mweupe.

NB: Mwenye sifa tuma picha yako na namba za simu jieleze kwa ufupi kuhusu wewe tofauti na hapo sito jibu sms yoyote.

Sifa zangu nina umri wa 26;
Mcheshi
Mnene kiasi
Mwenye msimamo thabiti
Siteteleki kwa mwanaume asiejielewa
Sina mtoto na sijawai zaa
Mweusi kiasi

NB; Napenda mziki, mtunzi wa story na ninapenda kupika sana nipo shap kwa kazi za nyumbani naweza kumlea mwanaume kama mtoto.
Ndio maana unatafuta wa miaka 40?
Uliponichosha zaidi ni pale unapoomba utumiwe picha wakati wewe hujaweka
 
Back
Top Bottom