kihuba
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 264
- 265
- Thread starter
- #1,561
Mimi ni binti wa miaka 27,elimu yangu form 4 nipo tayari kwa kuolewa,natoa ahadi ndani ya wana jf nitampenda mume wangu na kumlinda namruhusu anisaliti ila anieshimu,dini yangu ni mkristo,napenda kupika na kulea watoto ,ni mpore mcheshi ila sipendi mtu anifanyi kusudi
Nina msimamo thabiti
Napenda biashara sana na kama unaitaji maendeleo nahakikisha utafika uta jutia!!
Mwanaume ninae mpenda awe mrefu futi tano,umri 29 kuendelea awe mjasiliamali kama hupendi biashara usije kabisa pm,elimu yoyote sipendi mwanaume Mwenye kujisikia na mbwembwe za mdomo,rangi maji ya kunde asiwe mnene au mwembamba sana awe na mwili wa kati
Awe ana utu daimaaa
Unapo kuja pm jieleze kwa ufupi sita jibu SMS za mikato karibuni pm
Nipo tayari kuolewa ata wiki ijayo tukielewana vema
Nina msimamo thabiti
Napenda biashara sana na kama unaitaji maendeleo nahakikisha utafika uta jutia!!
Mwanaume ninae mpenda awe mrefu futi tano,umri 29 kuendelea awe mjasiliamali kama hupendi biashara usije kabisa pm,elimu yoyote sipendi mwanaume Mwenye kujisikia na mbwembwe za mdomo,rangi maji ya kunde asiwe mnene au mwembamba sana awe na mwili wa kati
Awe ana utu daimaaa
Unapo kuja pm jieleze kwa ufupi sita jibu SMS za mikato karibuni pm
Nipo tayari kuolewa ata wiki ijayo tukielewana vema