Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Mwanaume mwenye upendo na Nia ya dhati

Awe na akiri ya kujiongeza kimaendeleo
Asiwe na kitambi
Awe mkristo
Awe na umri miaka 29-35
Awe na watoto haina shida
Awe mrefu kwakweli maji ya kunde au mweupe

Naomba asije mfupi mweusi uwa Sina stimu nao kabisa kifupi wanaume weusi msije ntawadanganya tu kwakweli

Msema kweli mpenzi wa mungu

Ntajibu sms za wanaume kamili tu wanao jua kuandika Kama ujui kutongoza sita jibutext

Mfano vp?
.......haaaaaha

Sijui tyajendeee matofari sijibu.....


Na kadharika

Sitaki wazinguzi kwakua mie pia mzinguzi ukiniZingua [emoji850]
njoo Pm nikupe 1m nikakutafune. Achana na hiz mbwembwe
 
Exactly, yaani ameandika uharo. With all the shit conditions but she can't write, lol..!
Kutofautisha R na L penyewe tabu halafu vigezo viingi. Hautaki ambaye hajui kuandika[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
 
Duuh wanawake wa siku hizi, wana shida kibao, ila wanajifanya kama hawana shida vile,... Ombi lako mwenyewe masharti kibaaaao, hutaki kusalimiwa, na unataka uanze kutongozwa wakati ushasema unataka mume,.... Taabu tu iliyowapata viumbe hawa,... Mpaka kufikia kunadi uchi ujue umekwama,....
 
Back
Top Bottom