Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Baada ya kukosa mchumba natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

Kwani nilikuwa na shida na wewe.
Wewe ndio unatafuta Mume. Nimekupa Ofa njoo PM alafu kwa ujinga wako unasema nimekukosa. Nilikuambia ninakutaka au kutafuta mwanamke.

Mwanamke mzuri hatafuti Mume. Mwanamke mzuri hutafutwa kwa Udi na Uvumba.

Kitendo cha mwanamke kutafuta mume ni dalili ya kukosa sifa za mwanamke mzuri.
Mbona povu
 
Kwani nilikuwa na shida na wewe.
Wewe ndio unatafuta Mume. Nimekupa Ofa njoo PM alafu kwa ujinga wako unasema nimekukosa. Nilikuambia ninakutaka au kutafuta mwanamke.

Mwanamke mzuri hatafuti Mume. Mwanamke mzuri hutafutwa kwa Udi na Uvumba.

Kitendo cha mwanamke kutafuta mume ni dalili ya kukosa sifa za mwanamke mzuri.
Nakazia hapo kwenye paragraph ya mwisho
 
Kwani nilikuwa na shida na wewe.
Wewe ndio unatafuta Mume. Nimekupa Ofa njoo PM alafu kwa ujinga wako unasema nimekukosa. Nilikuambia ninakutaka au kutafuta mwanamke.

Mwanamke mzuri hatafuti Mume. Mwanamke mzuri hutafutwa kwa Udi na Uvumba.

Kitendo cha mwanamke kutafuta mume ni dalili ya kukosa sifa za mwanamke mzuri.
Nakazia hapo kwenye paragraph ya mwisho
Mmenikatisha tamaa ya kutangaza nia!
 
HTML,maquee,

Java script

Ndo utajimaliza pia
Wadanganye hao hao wewe hauwezi kua na elimu ya kidato cha nne...

Wewe ni degree holder tena kwa comment hii upo kwenye kada ya ICT.

Kama upo vizuri kwenye kudevelop app za Android nitafute
 
Hujakamilisha utafiti wako mpaka leo?
Kumbukumbu za mabandiko yako tunazo,wewe hutafuti mchumba labda kuna mengine unatafuta
 
Habari zenu wandugu Bado sijapata mume Wala mchumba yote ni kwasababu masiara mengi humu jf

Natoa nafasi nyingine kwa mwaka huu

Mwanaume anae hisi anahitaji mke

Sifa zake

Awe mwanaume haswa sio mwanaume asie jiamini
Dini mkristo
Umri miaka 29-40
Awe na nguvu za kufanya tendo la ndoa maaana. Mimi napenda Sana tendo la ndoa kupitiliza
Maji ya kunde au weusi wa kawaida usizidi
Mchapa kazi na anae penda mjasiliamali
Sitaki mwanaume mwenye tabia za kike maneno mengi Kama mtunzi wa stori
Mwenye mashauzi ya kujisikia sitaki pia
Awe na utu kwa wenzake
Asiwe mrefu Wala mfupi

Tabia zingine tuta zishepu

Sifa zangu
Binti mpole na mwenye msimamo thabiti,tofauti na hapo ni mwepesi kuchukia na mtu wa haraka kusameehe

Sio mwembamba Wala mnene nipo Kati na nyama kiasi
Makalio ya kawaida
Rangi mweusi
Napenda kupika na kufanya kazi zingine za nyumbani
Mcheshi ila sipendi kuonewa kupitiliza
Umri 28
Elimu kidato Cha nne
Sina kazi yoyote ila uwa nafanya vibarua vya hapa na pale Kama kubebea maji mafundi kufua nguo za watu na kusafisha ofisi za watu

Mengine tutazungumza

Kama hujapendezwa soma pita tu.

Pm wazi Ila sitaki maswali Kama tupo maahakamani .

Ni pm jieleze sifa zako weka na mawasiliano ntakutafuta nikiona nimesukumwa nikutafuta

Kwa mtu mwenye masiara mie ndo fundi
Hapo kwenye makalio ya kawaida umeharibu. Ungekuwa na makalio makubwa ningekufikiria.
Hapo kwenye elimu mimi nlikuwa nahitaji wa darasa la saba
Mi umri sasa miaka 28, utakubali?
Mwenye shida hufuata mganga. PM ipo wazi. Unakaribishwa.
Kila la heri my dear
Njoo pm sasa.
VigeZo vyote nimetimiza kasoro cha urefu tu...mim ni mrefu mno
Kwani nilikuwa na shida na wewe.
Wewe ndio unatafuta Mume. Nimekupa Ofa njoo PM alafu kwa ujinga wako unasema nimekukosa. Nilikuambia ninakutaka au kutafuta mwanamke.

Mwanamke mzuri hatafuti Mume. Mwanamke mzuri hutafutwa kwa Udi na Uvumba.

Kitendo cha mwanamke kutafuta mume ni dalili ya kukosa sifa za mwanamke mzuri.
Samahani kama nitakuudhi, nina swali kwako.

Ni changamoto ipi iliyokufanya mpaka kufikia huo umri hukupata mwenza?
kihuba uko serious jaribu kusocialize mtaani,sokoni,nyumba za ibada jitoe out sehemu expensive utapata mwanaume classic
kihuba umenivutia sana! Mimi nina miaka 60, naomba unifikirie kwani wanasema gari bovu huvutwa na gari lililo zima. PM iko wazi.
Habari zenu wana jf wakuu
Mungu ni mwema naimani wapo walio niunga mkono,wengine kunidharau na kunibedha wengine kunitumia na kunitelekeza naimani yote mapito.

Imani yangu ilikua ntapata mume tu tena wa kundena na mimi nashukuru mungu katenda maajabu yani napendwa mpaka basi nashukuru Adamu mwanaume wangu wa pekeeekee mwenye mapenzi kama umetoka binguni

Naongea mbele ya wana jf nakupenda Adam ntakulinda daima na ntakuzalia kama zawadi yako

NISI ZUNGUMZEE SANA cha msingi msikateeee tamaa japo nimepitia magumu mengi na kufanikiwaa

Nafuraia penzi lako mume wangu ADAM

kumbe jf kuna wanaume wakweli mnao tafuta msife moyo

C&P kutoka kwa kihuba
 
Back
Top Bottom