Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Mfuasi wa Rashidi huyo msameeUnadhani walioko kwenye foleni za chanjo wanaenda kupiga selfie halafu wanaondoka? wewe ndio uende huko vituoni ukajionee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfuasi wa Rashidi huyo msameeUnadhani walioko kwenye foleni za chanjo wanaenda kupiga selfie halafu wanaondoka? wewe ndio uende huko vituoni ukajionee.
Futa eneo hilo paskali, hakuna anayepinga chanjo.Kiongozi wa Umma Kupinga Chanjo Hadharani Sio Tuu ni Usaliti, Bali Pia ni Insubordination!.
Msiwe wachonganishi, kunatofauti kati ya kupinga na kutofautiana mawazo. Unaweza ukawa na wazo mbadala kwakua una experience zaidi au ya tofauti katika jambo hilo na kiongozi; je inamaanisha umempinga?Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kaka Pascal Mayalla . Ni tabia mbaya kupingana na kiongozi wako ndani ya chama chako na serikali yako.
Huyo hajitambui...Anatafuta yake kwakujipendekeza asipopendeka; teuzi zimeisha rudini mtulie mkafanye kaziKwamba msimamo wa Rais ni msimamo wa serikali! Kupinga msimamo wa 'serikali' ni usaliti! Just based on your so called insubordination!
Mpigeni risasi na huyo.
Ushawahi piga kura wewe?Hatukumchagua... na huo Usaliti ni kwenu Nyie Wazanzibari... Kwahiyo akiwaambie Mslumu muwe kama yeye katika uislam mkakataa nao pia ni Usaliti...
Pasco always mpumba wa vu
Hiari maana yake ni nini? Je, ''insubodination'' ndio lugha gani?Wanabodi,
Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye mahusiano ya ndoa, ndoa ni hiari, na sio ule uhiari wa choice kama kwenye uchaguzi, mtu uko huru kujiandikisha kupiga kura...
wewe naye huongozwi na akili zako.Wanabodi,
Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye mahusiano ya ndoa, ndoa ni hiari, na sio ule uhiari wa choice kama kwenye uchaguzi, mtu uko huru kujiandikisha kupiga kura
Hizi story za insubordination ndo zimetufikisha hapa tulipo kama taifa.Binafsi sina tatizo na fikra au mawazo yako haya. Na in fact kuhusu "insubordination" hilo halina ubishi, ni kweli kutotii na kufuata "order" ya aliye juu yako ni kosa kubwa lenye adhabu kali...
Kwa hiyo kiongozi akiiba na wewe uibe sababu usipomuiga mkubwa wako Ni insubordination!!!Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kaka Pascal Mayalla . Ni tabia mbaya kupingana na kiongozi wako ndani ya chama chako na serikali yako.
Hahaha kuwalinda wengine kivipi jamani jamani wakati kuta kuwa na makundi mawili waliochanjwa "walio salama" na ambao hawajachanjwa sasa ambao hawaja chanjwa wanawaweka kwenye hatari kina nani sasaNimepapenda hapo uliposema "wana wajibu wa kuwalinda wengine" tatizo linakuja huu wajibu utatekelezwa vipi?
Wakati mwingine itabidi utekelezwe kwa lazima, na ukifanya hivyo wajinga watazidi kupata sababu ya kuwadanganya wenzao wasichanjwe sababu zina "matatizo", hili litazidi kurudisha nyuma juhudi za kuwachanja watu....
Happy naona maana ya demokrasia haijaeleweka vizurChanjo hizi si kwa maslahi ya Taifa, unapotosha kwa makusudi…. stop this nonsense too.
Hahaha nikajua huo ndo ukomavu wa siasaNakubaliana na wewe kwa asilimia zote kaka Pascal Mayalla . Ni tabia mbaya kupingana na kiongozi wako ndani ya chama chako na serikali yako.