#COVID19 Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti


Kwahio akichanja Raisi maana yake ni salama kwani yeye kaitengeneza si kashauriwa tu, hujawahi kusikia Raisi kashauriwa vibaya. kuna msemo unasemwa... mwanasiasa akikuambia jua nje linawaka toka ukaliangalie....yeye mwenyewe amesema chanjo ni imani una haki ya kuiamini au laah.. hakulazimishi na hajalazimisha mtu

Gwajiboy ana kofia mbili naamini ana haki ya kusemea kondoo wake kitu anachokiamini na kondoo wana haki ya kumsikiliza au laah..they have got a mind of their own..

Mkanganyiko ni mkubwa kwa wananchi tulishaambiwa na viongozi hao hao km chanjo bado tusubiri kwanza hazifai tena wakatupa sababu kwanini hazifai na tukamuamini mwendazake sababu mwenyewe alikuwa ni mkemia anaingia lab anajua machemical reactions wakatuambia hii chanjo teknolojia yake inamaswali mengi haijakaa vizuri inaingia kwenye cell za mwanadamu..siku chache baadae zinafaa na viongozi hao hao waliosema hazifai nini kimebadilika aisee na ninaamini kuna scientist hapa nchini ambao hawaamini kwenye hii chanjo lakini hawawezi kusema..Sasa Gwajiboy km anaona watu wamebanwa mbavu na yeye ana ubavu let him stand out na aseme anachokiamini ni hiari kuchanja hajafunga mtu mikono asiende...

By the way efficacy ya chanjo bado scientist wanaihoji vaccinated people are still getting infected and some wanapoteza maisha...stay healthy good people..
 
Kabla sijachangia uzi huu, naomba nikuulize wewe Mayalla, je umesomea shule ya seminary gani?
 
Asilimia95 ya watu wote duniani hawana ufahamu wa kinachoendelea kuhusu wao, agenda hizi mimi nazifahamu tangu nilipoanza kua Conscious mwaka 2012.
Na utimilifu huo unakwenda kutimia, na watakuwa wameisha chelewa sana.
Kupiga chanjo ni suala la kufa na kupona..
Waliochanja na hawaonyeshi kupata madhara wanadhani wapo salama, but time will tell! Sio kwamba watakufa la hasha, ila dunia nzima wakichanjwa na kuisha...mitambo ikiwashwa na kuwa connect wote waliochanja kwenye global computer wataanza kuona vitu vipya inside their brain kama ujio wa .....
 

Unaongea nini wewe

Kwahio km hujui ndio usiulize maswali, utumie tu sababu umeletewa, umesoma ili iweje...inavyotengeneza antibiotic ndio sawa inavyotengenezwa chanjo..Chanjo ni dawa?!
 
Hili sakata la Gwajiboy na Gwajigirl linaendelea. Gwajiboy anamdharau Mama Samia, anamdhalilisha Waziri, shemeji yake, na sasa anawadhalilisha Wanyiramba wote. Japo Kanda ya Ziwa wanadharau sana wanawake, lakini hili la Gwajiboy kumdharau hadi rais wa nchi na Mwenyekiti wa chama chake CCM ni dharau iliyopotiliza!.
Akiendelea kuachiwa tuu atafikia mahali atakuwa ni unstopable na itakuwa too little too late.
P
 
mtahangaika bure tu kushawishi watu wachanjwe kiukweli watu wengi sn hawana imani kbs na hayo machanjo yenu hilo ni jambo la kwanza

jambo la pili wanasikilizia hao wachache waliochanjwa watapatwa na madhara gani baada ya miaka fulani ili wajue kilichomo ndani

jambo la tatu linalowashangaza sana wananchi inakuwaje baadhi ya watu waliochanjwa baada tu ya kuchanjwa hawachukui siku si nyingi wanakufa badala ya kuwakinga ?!!...hapa kuna mifano mingi ya watu hao kufa baada siku chache tu kuchanja

jambo la nne linalostaabisha kbs ni hili la watu kukomaliwa kwa kila namna hata kwa pesa wachanjwe kuna nini cha siri hapo ?!!! huo uchungu wa huruma kwa wanadamu imekuwaje umekuja leo ?!!...mbona miaka nenda rudi watu wanakufa sana kwa magonjwa mengi tu huruma hii haijawahi kuonekana!!!!...miaka nenda rudi wanasayansi wanagundua kinga nyingi tu watu hawatafutwi kwa udi na uvumba kama kipindi hiki juzi tu hapa tumeona kampuni ya moderna imetangaza majaribio ya kinga ya HIV watu 56 tu wanahitajika tena hawabembelezi hata kidogo wakati ukimwi pia unaua mamilioni ya watu kama covid tu

kuna mambo mengi sana ya kujiuliza kabla ya kuamua kuchanja ...hivi karibuni pia tumeona chama cha republican cha marekani kiliibua masuala tata sana juu ya ushiriki wa marekani na china kwenye hili jambo la uviko kuwa hizi nchi mbili zilishirikiana kwa siri sana juu ya gonjwa hili sasa bado haijulikani ilikuwaje hivi virusi wakaviachia kwenye maabara zao za siri na mwisho wa siku mmarekani anataka kumuachia msala mchina jambo ambalo naye hataki kusikia ukaguzi tena wa WHO baada ya ule ukaguzi wa kwanza wa kupangwa kubuma
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani unachekesha kweli ....yaaani mtu amechanjwa hlf tena mimi nisiyechanjwa niwe kihatarishi kwa aliyechanjwa?!!!...aisee kuwa serious ....narudia tena yaani mimi niwe hatari tena kwa aliyechanjwa?!! ...huoni hiyo chanjo ni useless kama inashindwa kumkinga mchanjwaji ina maana gani sasa?!!...hapo hkn kinga bali kuna kitu kingine tu ndani yake kinachotafutwa kupitia mgongo wa chanjo ...chanjeni wajinga wajinga
 
kwa hiyo mtu akae kimya asimuhabarishe ndg yke,mke wake,mtoto wake n.k juu ya madhara ya jambo fulani eti kisa bosi aseme hvyo na iwe hvyo !!! kwamba kama ni sumu kwa kuwa boss amesema basi wote mpokee sumu!!!...huu utakuwa ni utaahira wa ajabu kbs
 
kwamba nyie mna haki ya kuwaaminisha watu wote kwamba chanjo ni salama!!!!...halafu wengine hawana haki ya kuwaambia watu wote kuwa chanjo si salama?!!..nyie nendeni mkachanje mchukue muweke na za akiba kbs mbn ni rahisi sn makasiriko ya nini kwenye afya za wengine wasiotaka?!!
 
Mama yangu alinambia nisioe Wanyiramba, eti kwa kuwa wana roho mbaya, sijui kama kuna ukweli.
 
Nakubaliana na wewe kwa asilimia zote kaka Pascal Mayalla . Ni tabia mbaya kupingana na kiongozi wako ndani ya chama chako na serikali yako.
Upuuzi mtupu, yani mtu akubali tu kufuata vitu kisa mamlaka imesema?. Acheni kutetea ujinga kila mtu ana hiari ya kuchanjwa au Laa. Watanzania wengi wamechagua Laa.
 
Chanjo ni kama bange, mama Samia baada ya kudungwa jana kaanza kuwafananisha wanawake na wanaume, Gwaji girl kaanza kuleta story za kutestiwa kitandani, Spika kaanza kutaka wasiochanjwa wahojiwe.

Uzombi umeanza mapema kuliko tulivyo tarajia.
 
Upuuzi mtupu, yani mtu akubali tu kufuata vitu kisa mamlaka imesema?. Acheni kutetea ujinga kila mtu ana hiari ya kuchanjwa au Laa. Watanzania wengi wamechagua Laa.
Ukikubali kuwa mtumishi Basi hayo Ni baadhi ya matakwa ya hiari yenye ulazima
 
H
Hujaelewa kabisa yaani Gwajiboy pamoja na Uaskofu wake kuwa wa ajabu kama kinyonga( angalia jana kasema kama yeye alimtafuna yule binti mrembo xccc)

Yaani angejiuzulu sio swala la haki. CCM ndio inatawala na Gwajiboy anakula m11 kupitia CCM hivyo aandike barua ya kujiuzulu kwanza lwa kupishana na maamuzi ya chama. Hapa hakuna ligi ya kubishana,bi kuelewa utaratibu ukoje.

Hakuna mtu anaechapwa viboko kulazimisha chanjo. Ila mwenye sauti ya kuongelea chanjo ni chama kinachotawala. Kama hutaki semea nje ya chama kwa kujiizulu kwanza.
 
Barikiwa.
 
Uzi mzuri ..

Pascal, I agree with you 100% especially serikali inavyopaswa kuwachukulia hatua watumishi wake wanaoiponda chanjo waziwazi..

Namna ulivyoondolewa TBC binafsi imeniuma but that's life..POLE kwa yote Brother.
Pascall unampa pole ya nini. Yule hakuwa mtu wa kuajiriwa tena ni brand heavy kali kupita wote akina millard, michuzi, kitenge n.k wote hao aliwatangulia kwa mbali. Alitakiwa awe na kituo chake anatoa ajira na hizi mada tunaongelea kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…