Baada ya kulipa Mahari kwao Ndipo nimegundua ana Majini

Tafuta namna ya kumsaidia kumtoa hayo majini au jipange vile utaweza kuishi nae na Hali yake ukishindwa hayo sema nae kwa amani mtapata muafaka wa pamoj

Hakuna mkamilifu harafu kama ndani ya miaka 3 hakuna usumbufu kuna ubaya gani akioa,mbona mimi ninayo huu mwaka wa nne niko na baba chanja wangu😀
Una uelewa na hayo mambo?
 
Aisee bora malaya kuliko mwenye majini, anaweza akakunyonga usiku ufe 😆

Wakati wa tendo majini yanaweza yakapanda akatoka nje nduki mkaanza kimbizana mtaani uchi 😆
Umewahi kusikia wapi mkuu mtu mwenye majini kamnyonga mpenzi wake wakati wa tendo wale nao wanaheshimu furaha ya mtu😁😁😁
 
Msamehe tu alafu usimuache tafuta namna ya kumsaidia
 
Mkuu mahari sio kitu, wala sina shida kuiacha, ninachowaza ni je sitapatwa na ivo vitu? Pia ni MTU anayenijali Sana kama mume wake na amekuwa akilia nisimuache Kwa sababu ya ilo tatizo lake, kwaio namimi ninamuonea huruma kumuacha
Inaonesha binti hayuko tayari kukuacha, mpe sharti, kama anataka kuendelea kuwa na wewe umpeleke kwa watumishi akaombewe huo uchafu umtoke. Akikataa mrudishe kwao.
 
Mpeleke kwenye maombi

Yaani mahari ya mke mmoja nae kaja na faida ya michepuko ya kijini😋 Zari la Mentali ndilo hili🤣🤣
Mkuu hata Mimi nilikuwa nachukulia mambo kimasihara hivi hivi humu jamvini kama wew, paka pale yamenikuta ndio Naona kumbe kuna kupatwa na maswahibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…