Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtumia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
 
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Mtanzania wa wapi huyu au anatokea kwenye jiwe la kale na ana akili kama za lile jiwe?.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Mama yako akifuata ushauri wako hakika najua hata baba yako alifanyiwa hivyo hivyo na mama yako.
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Sawa ila Afande Wambura atakapoandaa press na waandishi wa habari kuhusu mauaji ya wivu wa kimapenzi tutapost hapahapa.
 
Wanawake wengi wangeshindwa kupata wachumba wa kuwaoa kisa walikuwa wakiwachezea wenza wao ambao walikuwa na Nia za dhati za kuwaoa.

Mtoa mada anatakiwa akumbuke kwamba laana huwq hazitoki tu kwa wazazi pekee.

KARMA is waiting for you.
 
Back
Top Bottom