Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haelewekagi huyu jamaa,Hii nayo Ni chaiMakubwa leo una jinsia ya kike[emoji19]
[emoji23]Haelewekagi huyu jamaa,Hii nayo Ni chai
Ya nini sasaHuna shukrani
Mkirogwa mnaanza kukimbilia kwa mwamposa ovyoooNikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.
Mliosoma Cuba mpo?
Sio KILA mtu analogeka Ingekuwa hovyo pasingekuwepo na watu duniani wote wangelogwaUmejiandaaje na kulogwa? Uanze ku bleed bila kukata miaka mitatu?
Anakera sana kwa kujaza server bureHaelewekagi huyu jamaa,Hii nayo Ni chai
Kivipi SAsa,watu wanasomesha,wanatoa mitaji,wanawajengea nyumba na wanatoswa vile vile pia .Tuache ubinafsi hatuna mamlaka ya kumiliki mwili wa mtuukatili wa hali ya juu kabisa
Mawazo ya kiswahili hayo hayana tijaWaambie kabisa ndugu zako siku wakiona umevaa pichu kichwani kama kofia wajue jamaa keshafanya yake.
Leo ana jinsia!Makubwa leo una jinsia ya kike[emoji19]
Tena ana miaka 24Leo ana jinsia!
Alichokipanda atavunaHiyo karma yake itakayokupata nakuhurumia