Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Mkirogwa mnaanza kukimbilia kwa mwamposa ovyooo
Usile cha mtu kama unabana utekezi
 
Yupo sahihi olewa na chaguo lako Ili upate furaha ya moyo. Ila kuchuna mtu ni wizi pia
 
Miaka 21 kwa 39 ndio ndoa nzuri.Umri wake ndio sahihi kwa umri wako.Kama umekusudia kumfanyia hivyo na yeye alikusubiria hivyo.Subiri laana ya maisha. Hutaolewa na ukiolewa utapata mume bomu utamtafuta na yeye hakutaki tena.
 
Waambie kabisa ndugu zako siku wakiona umevaa pichu kichwani kama kofia wajue jamaa keshafanya yake.
 
uzuri ni kwamba mavuno ulichokipanda yatakuwa makubwa kuliko mbegu uliyoipanda. Hivyo subiri muda wa mavuno utakapofika.
 
Subiri kuliwa kimasihala........utawekewa mkojo kwenye dompo haafu tuta tatua marinda yote...**** nyoko zako
 
Back
Top Bottom