Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Kwa mchongo huo unaenda kuufanya na mamako ni kwamba mama yako nae ni mamatapeli
Kweli mtoto wa nyoka ni nyoka
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Watakuzika ama watakusafirisha?
 
Mm ningehakikisha juu chini namtomba mama ako haiwezekan ule vyangu kirahisi

Kwan inaonekana naye anatombeka kirahisi

Mtoto na mama wote hovyo

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya hapo ukakanyage mafuta kwa profet ili upate mume.
 
Hii ID ya mtoa thread mkiona ipo kimya week 2/3 zijazo mujue kuna linalompasa kumkuta limemkuta kweli.

I mean 7bullets to the head.

Nakuombea kwa moyo mkunjufu kabisa bila kinyongo, huyo jamaa akuvunje kama sio kukumaliza, mnapenda vya bure, kutoa hamtaki,

Mama yako akisikiliza ushauri wako bila maonyo, basi amini kuwa nae ni hovyo vile vile, baba yako bora angezaa na mwanake mwingine usingepatikana mpuuzi kaka wew.

Heshimuni wanaume
 
Hakuna tatizo ilimradi unamwamini mama yako asije kukuzunguka akaolewa yeye sababu inaonekana mna akili zinazofanana za kidili dili.
 
Mnamlaumi bure tu demu. Hana kosa wala hadaiwi chochote.

Mnyooshe huyo fara mwanaume asiyeijua thamani ya uanamme wake akaishia kuweka effore 100% kwa mwanamke mmoja akiamibi uwekezaji wake utampa haki ya penzi la dhati la mwanamke
 
kwanini boss unakuwa na hofu
Wanaume na genye ni samaki na maji sasa kama huyo jamaa eti zaidi ya miaka 3 hajamgegeda kazi ni kumlia hela tu, unahisi jamaa yupo sawa huyo.

Labda kama anamsaidia tu kama dada yake.
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Halafu ukifika 30 huna mchumba utaanza kwenda kukesha kwa Mwamposa unaomba mume.
 
Dunia inazunguka hii, isije ikafika siku utakayohitaji hata babu wa 50 akuoe na asitokee(karma), kama humpendi mtu mwambie ukweli na usichukue/usikubali vitu vyake ili amove on. Jiepushe na kula vitu vya watu binti.
 
Dunia inazunguka hii, isije ikafika siku utakayohitaji hata babu wa 50 akuoe na asitokee(karma), kama humpendi mtu mwambie ukweli na usichukue/usikubali vitu vyake ili amove on. Jiepushe na kula vitu vya watu binti.
Kama nilivyoandika kwenye uzi wangu, aliniganda sana
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?

Nyie dizaini ndiyo mnapigwa kiberi mchana kweupeee,kama humtaki kwani umekula mafao yake. Ngoja akutie uchizi uanze kutembea papuchi nje kama ya mbuzi.
 
Back
Top Bottom