Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja risasi za kwenye chuchuNikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.
Mliosoma Cuba mpo?
Mwenzie huyu hapa.. Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharauIpo siku utamkumbuka tu...kama ni kweli...unless umekuja kunogesha kijiwe
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.
Mliosoma Cuba mpo?
Jadili mada mkuuWewe ni jinsia gani?
Unanifundsha cha kuandika? Nakuuliza Tena wewe ni jinsia gani?Wewe ni jinsia gani?
Vitakutokea puani. Malipo ni papa hapa.Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.
Mliosoma Cuba mpo?
Tushawachoka na chai zenu.Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.
Mliosoma Cuba mpo?
Ha ha ha, matola bana.. kumbe bado upo anga hizi?Unanifundsha cha kuandika? Nakuuliza Tena wewe ni jinsia gani?
🤣🤣 Baadae atapofikisha 30+ alafu akawa hajaolewa atakuja kufungua uzi hapa jamviniKizazi cha 99 kuelekea elf 2
Atamkula mama yako jiandae kisaikolojia.Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.
Mliosoma Cuba mpo?
[emoji23][emoji23]Utabaki sebuleni na mama ako kwa miaka 16 mbele
Miaka mitatu asile mzigo kweli atakuwa amesomea cuba.Hakuna mwanaume wa aina hiyo miaka hii. Mleta mada changamsha genge tuuu
Kwahiyo hata mbususu hukumpa? Na inaonesha aliyekuwa anaichakata mbususu ni mtu mwingine. Daaah inauma sanaNikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.
Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.
Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.
Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!
Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtumia hiyo sms.
Mliosoma Cuba mpo?