Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Utabaki sebuleni na mama ako kwa miaka 16 mbele
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Ngoja risasi za kwenye chuchu
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?

Wewe ni jinsia gani?
 
Baadae magazetini tusome, amuua mpenzi wake kwa ugomvi wa mapenzi,,,
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Vitakutokea puani. Malipo ni papa hapa.
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Tushawachoka na chai zenu.
 
Nakuhakikishia utafika 42 years hujaolewa, wait and see how bitchery karma is.
 
Unanifundsha cha kuandika? Nakuuliza Tena wewe ni jinsia gani?
Ha ha ha, matola bana.. kumbe bado upo anga hizi?
Anyway sexless ni me huyo, sema andiko lake linaelezea uhalisia kwa yanayotokea katika jamii[emoji2375]
 
Hakuna mwanaume wa aina hiyo miaka hii. Mleta mada changamsha genge tuuu
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Atamkula mama yako jiandae kisaikolojia.
 
Kama nakiona kifo chako vileeee pangua ulicho panga
 
Utakuja kumkumbuka siku moja na itakuwa ushachelewa sasa hivi masharobaro wanakudanganya karma is real.
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtumia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Kwahiyo hata mbususu hukumpa? Na inaonesha aliyekuwa anaichakata mbususu ni mtu mwingine. Daaah inauma sana
 
Back
Top Bottom