Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Huu ushenzi jamaa atalipiwa na huyo atakayekuoa
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Siku ukiwa na family yako, utapenda haya yatokee kwa kijana wako? Au Mwana familia Yako?
 
Kuna wenzio wanamlilia huyo, ipo ck utamkumbuka pia n ww unakotegemea kitakachokupata utatamn huyo unayemuacha apokee cm ili umsimulie
 
Una muwaa au una rambooo mleta uzi maana mada zako huwaga mashkeli mageni[emoji38][emoji38]

Hii ni[emoji477][emoji477][emoji477]
 
Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.

Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike nikikohoa tu muamala unasoma, nikilia shida muamala unasoma na nikiwa na uhitaji wowote ule muamala unasoma.

Ni mwaka wa 3 sasa tangu anigande lkn sikuwahi hata kutoka naye out ya lunch wala dinner, achilia mbali utelezi ndiyo aliogopa hata kugusia. Kwasabb nilmwambia kama ana nia ya dhati ya kunioa asubiri ndoa.

Hivi sasa kanikomalia anataka akatoe posa lkn mm naona hatuendani maana yeye sasa ana 42 na mm 24. Nimebuni mbinu ya kumpiga chini pasipo maumivu.

Nimemwambia nikamtambulishe kwanza kwa wazazi kabla ya posa. Lkn nimekula dili na mama kuwa amkatae siku akija home. Tukifika tu home mama anune na awe mkali haswaa!

Kisha mama ataniandikia sms ya mchongo ya kumkataa. Halafu nitamuonesha ama kumtunlmia hiyo sms.

Mliosoma Cuba mpo?
Binti wa Belizebuli wewe. Na hiyo dhambi utailipa hapa hapa duniani kabla hujafa. Unafikiri unaweza kuchezea hisia za mtu unavyotaka na ukabaki salama? Nyambaf ....
 
Tembea na K_Y atakuletea mabaunsa wakupe shukrani
 
Una muwaa au una rambooo mleta uzi maana mada zako huwaga mashkeli mageni[emoji38][emoji38]

Hii ni[emoji477][emoji477][emoji477]
Hiliblijitu halielewekagi kuwa ni nyoka, kenge ama mjusi
 
Hiyo karma yake itakayokupata nakuhurumia
Kweli kabisa, madam alikuwa na nia njema basi akimfanyia hivyo hajui atakuja kumfanyia nini. Au hata akinyamaza kimya anaweza kupata balaa akajutia baadae. Anaweza pia kupata jimtu hilo likamfanyia vituko akaja kujuta.
 
Huwa nakua na hofu na wanaume wanaokubali kutongonoka mpaka ndoa.

Sawa wanaume tumetofautiana lakini sidhani kama ni kwa kiwango hicho.

Kua makini usije geuzwa msukule
 
Bora Mama yako amkatae mana huyo jamaa atasota sana huko mbeleni
 
Japo jinsi Yako huwa inabadilika

Ila kwa wasichana wa dizaini hii ingekuwa mimi naenda kukusemea kwa BABU

nitakukata ngebe ujutie maisha yako yote

Shwaini wasichana na Wanawake wote wenye hizi Tabia chafu.
 
Ile mimba ulipewaga na mwalimu wa mazoezi ulishajifungua?

Anatuma matunzo lakini!!?
 
Back
Top Bottom