Baada ya kumchuna miaka 3, nimekula dili na mama amkatae siku ya kumtambulisha

Mwenzetu kadandia mtubwi wa vibwengo... haya bhaana imeisha hyo.
 
Ukifikisha miaka 32 bado haujaolewa ndio utauona umuhimu wake huyo mwamba,,,
 
Sawaa

Lkn juwa kuwa ukila vya watu nawewe Italiwa tuuu.

Pili mwisho wa uovu ni uovuu

Hakuna aliyepanda maharagwe akavuna nyanya hili tafutia NAFASI kwenye kichwa chako lipate nafasi yake pele.

Hawa wanaume wanaowapiga risasi kichwani na kuwaunguza na mkaa

Unadhani kwanini.

Subiri kituo kinachofuata,,,,,,,......
...πŸ¦žπŸ¦žπŸ¦žπŸ¦žπŸ¦žπŸ¦žπŸ¦žπŸ¦žπŸ¦€πŸ¦€πŸ¦€πŸ¦€πŸ¦€πŸ¦πŸ¦πŸ¦πŸ¦πŸŒπŸŒπŸŒπŸŒπŸŒπŸŒπŸŒπŸŒπŸŒ
 
Hiyo 24yrs inakudanganya hee!!
Halafu yule mwanaume mwenyewe ni mimi kumbe ndio mpango wako uwo hee sasa jiandae
 
Karma is the bitch

Unastahili kuzibuliwa marinda kama mshahara wa dhambi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…