Baada ya Kumkimbia Mumewe, Aunt Ezekiel Adungwa Mimba na Mume wa Mtu

Hahaa nimekumbuka ile siku wewe na Kanitangaze ilikua balaaa

Kantangaze sijui aliibukiwa wapii, ,halaf kwa vile mi nilikua nishakosana na Heaven ilikua rahisi heaven kuamini mimi nimemtumia pm kantangaze kwa ile kauli ya kantangazee,Heaven ni mpole sana sema na ukweli tu
Halaf nishaona haya mambo ya kuchambana humu hayana maana maana hufaidiki na chochotee kile, sasa hivi sishabikii mtu akichambwa, maana mi ndio yalianzia huko kesi nikaibeba ujinga huuu
 
Hahahahaha huwa neno hili ubuyu linanifanya nicheke kila muda nikilikumbuka ..daaa hakika warumi fundi!

Halaf walimuiga warumi sasa hivi kila blog ni ubuyu tu au nae warumi aliiga sehemu etii
 
Last edited by a moderator:

Ahahahahahaha
Shikamoo warumi
 
Last edited by a moderator:

Warumi kiboko hii et hata yako huwezi kuyatunza sembuse ya mwingine, binam umeua aiseeee
 

Cha muhimu mshasameheana maisha yasonge ila kiukweli ugomvi hauna maana kabisa maana wengi wetu hatujuani
 
Mmmmhhhh warumi atengeneze blog tu

Hahaha dar noma sana ... Siku nilipo taka kuvunjika mbavu na alipo anzisha mada na kuanza kusema kuwa duru za kiubuyu zinasema kuwa......." nilicheka sana nikaamini huyu jamaa ni mbunifu sana..tumezoea kusikia duru za siasa sasa leo tunaona Duru za kiubuyu nilicheka sana! Warumi fundi anapamba ili jukwaa!
 
Last edited by a moderator:

Napita.....
 

nikuambie kitu
kua km mimi
mtu akipanda we shuka
afu mi siwezi kupaniki kwa fake id
na akianzisha comment na mkoti pia
maisha mafupi haya
 
nikuambie kitu
kua km mimi
mtu akipanda we shuka
afu mi siwezi kupaniki kwa fake id
na akianzisha comment na mkoti pia
maisha mafupi haya

Hujachokozwa wewe geni Kim nana nimekumiss ujuee
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…