Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
- Thread starter
-
- #161
Hhhhaaaa umenikumbusha kitu yaan mfano kuna ka umbea umekatoa kwa mafumbo nashindwa nikuulizejee hhhhhaaaa
Mnunulie zile za azamu zinauzwa elfu mbili zinakuwemo 12 nadhan halaf umtumie kwenye basi
Cc@honey Faith njoo nimesamehewa mimii
Hahaaaa ulikua ukisema weka picha natamani nikuwekee ila nasema siweki wala nini... ngoja nikaushe...
Mnunulie zile za azamu zinauzwa elfu mbili zinakuwemo 12 nadhan halaf umtumie kwenye basi
Cc@honey Faith njoo nimesamehewa mimii
Hiyo keki husahau tu lol...
Tushasameheana maisha yanarudi kama zamani my dear..
Pepo lishashindwa hilo... tulikua tunashindwa hata ku enjoy ubuyu kwa raha... ushoga umerudi upya...
Sitaki kuamini umesamehewa badala na mie unipigie debe nipate keki nzuri wewe tena ndio unatoa ushauri wa azam.Kuanzia leo nimekugaya sichezi na wewe
Kwani we wataka keki yaaje iliyopambwa eeeee mbona hua naona si nzuri zina sukari nyingiiii kweli, basi akutengenezeee inaonyesha we na keki damu damu mi napenda lakini zile hazina hayo ma ice sugar
Nikopeshe hiyo buku mbili ila kulipwa mwakani....
Keki kubwa kubwa lakini pia isiwe na ice sugar.Akinipa nitakugaia kidogo...
Mi ntakuachia wewe tu maana upo mdogo unapenda vitam vitamu hhhhhaaaaaa
Wala hata mie sio mdogo kama sitti mie ni mtu mzima atiii!!!!....lol
Jamani ni kweli hivi vinyweleo ni vya lemutuz?
Yaan kila nikiparudia mimi hoiii
Warumi umemfikisha hapaa
Heaven nilikukosea sana na mimi ndio kachokozii kwa kushabikia mambo yale yasiyonihusu,naomba unisamehe usibaki na kinyongo tusameheane vinyongo vyote tuvitupe kule hata majembe hugongana sembuse sie nisamehe shoga angu,ya moyoni haya sijaona haja kuandika pm japo ni machache lakini yana maana tusikae na vnyongo kwa mambo ya kijinga na kipuuzi,sawa my dia nipo nimepiga magoti huku nasubiri msamaha upitishwee
Huyo mtoto ataishi kwa madanga sasa ,hii mimba sidhan kama anamjua aliempa!!