Kuna Kitu kikubwa Sana hapa. Sometimes Kuna tabia tunaziona ni za kawaida Sana wakati wa uchumba Ila zinakuja kukomaa na hazizuiliki Tena. Nina mfano japo nilikimbia mbio.Kipindi cha uchumba ulidharau baadhi ya vijitabia vyake, Madhara ndo hayo
[emoji23][emoji23][emoji23]unapata dhambi.dah, mpaka nimedinda, haya bana
Daah unaongea vitu kirahisi kama hivyo vitu havipo huyo jamaa kaongea ukweli na wengi wapo kwenye hiyo kadhia wewe unajifanya yeye ndio kakosea...ubahili ndiyo unaomsumbua huyu. Hiyo tigopesa anapata vipi fedha kama hakumpa password mwenyewe?
Hayo ya watoto kutoa matusi alitakiwa na yeye awe na msimamo asiruhusu hivyo vitu.
Mkuu wanawake wanajifunika sana majani kipindi cha uchumba kila mtu akiongea matatizo yake hapa utashangaa ni vile Wanaume wengi wana kifua kizito wanakufa na matatizo yao tena tunawaacha Wanawake maana wao hawana kifua...Duh!....huyo mke ulimchagua wewe au uliletewa tu ukaoa ?
na nikiunga hapa natoa upepo[emoji23][emoji23][emoji23]unapata dhambi.
Sio mimi mkuu, huyo mleta mada aliwaza papuchi ndio maana akaoa.Naona akili zako zimemezwa na papuchi
Mm naona mkiwa 2 tu ndani regardless ni Mke au msela mwenzio kuna mambo hamuwezi kwenda sawa hasa mkiwa mmekutana ukubwaniAcha gubu mkuu, kuishi na mwanamke hakujawahi kuwa simple...
[emoji1787][emoji1787]Si ulimpendea chura, haya pambana sasa huyo ndiye chaguo lako
Kuna Mwanangu alioa ana mwaka wa 3 siv. Kila tukipiga story za kuoa, hua ananiambia mwanangu usiangalie Sura hata kidogo.Si ulimpendea chura, haya pambana sasa huyo ndiye chaguo lako
Huko ndoani mbona kama kunatisha wakuu?Nayaonea wivu hayo mapumziko yako.
Ashanasa huko kitakachomtoa labda mizimu ya kwao iingilie kati.Kuna Mwanangu alioa ana mwaka wa 3 siv. Kila tukipiga story za kuoa, hua ananiambia mwanangu usiangalie Sura hata kidogo.
Sijui amekutwa na nn huko kwenye ndoa yake.
Natamani nipewe likizo🤣🤣🤣 nikitoka asubuhi, Ile jioni nikirudi namkuta mume kakonda, analalamika amenimiss🤣🤣🤣Na ukiona mke anadokoa visenti vidogo ujue humpi pesa kwaajili ya matumizi yake binafsi.
Next time nunua Tv mbili moja weka chumbani uwe unapumzika huko bila bugudha. Tv ya sebuleni waachie mke na watoto. Ila mke wako ana mdomo nadhani hicho ndo ulimpendea tangu mwanzo.
Wengine tunatamani kupewa likizo hata ya siku mbili twende kwetu hatupewi .
Ezeulu Kweenu!!!Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!
Ndoa..........mh!
Mwanamke mwenye adabu mume akifika sebuleni anamkabidhi remote....He is a King of the house.Kama ni mama wa nyumbani anaweza kuangalia marudio ya hizo sijui tamthilia mchana. Ni gubu tu, angeacha mumewe aangalie. Matusi ni tabia ya mtu alokuzwa nayo. Sipendi mtu anaatukana ovyo.
Hii kitu sielewagi,hata umpe mwanamke milioni akifua suruali na kukuta buku kumi ataibeba tu.Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!
Ndoa..........mh!