Baada ya kumsafirisha mke najisikia amani, furaha na wepesi wa kutosha. Ndoa inahitaji umakini usiomithilika

ubahili ndiyo unaomsumbua huyu. Hiyo tigopesa anapata vipi fedha kama hakumpa password mwenyewe?

Hayo ya watoto kutoa matusi alitakiwa na yeye awe na msimamo asiruhusu hivyo vitu.
Daah unaongea vitu kirahisi kama hivyo vitu havipo huyo jamaa kaongea ukweli na wengi wapo kwenye hiyo kadhia wewe unajifanya yeye ndio kakosea...
 
Naona akili zako zimemezwa na papuchi
Sio mimi mkuu, huyo mleta mada aliwaza papuchi ndio maana akaoa.
Angeangalia vigezo vingine nje ya papuchi naamini asingemuoa huyo mkewe hasa kwa hizo tabia za mkewe alizoziainisha yeye mwenyewe hapa.

Mimi nimemuonya tu kuwa huko alikompeleka hata hicho kigezo kilichomfanya amchague huyo mke wake(papuchi) kinaenda kutumika.
Tena kinaenda kutumika na watumiaji wenye matumizi mabovu. "Hawajali!
 
Hili ni libahili ukionaga majitu hayanaga shukrani ujue haya.

1. Libahili
2. Halijui kubembeleza mwanamke ukimwona anavaa kiuchi uchi anakutega ila hujui mapenzi nini ,hujui kuwa mke anataka nini wewe ni ugomvi tu.

3. Unamchepuko unayemtunza ndio maana mkeo akifanya hivyoo unaona keroo.

So acha umalaya tulia kwa mkeo . Uenjoy maisha ya ndoa
 
Kuna watu watakwambia ukimchunguza saaana huwezi mla , kumbe tunafanya makosa makubwa sana yanayokuja kutugharimu huko mbeleni ..

Kuijua historia ya mwenza wako kabla ya ndoa ni jambo la muhimu sana kwa mustakabali wa maisha ya mbeleni.

Me/ke ukishatambua madhaifu ya huyo umtarajiaye kuja kuishi naye ni jambo la msingi sana. Tofauti na sasa watu wanaingia kwenye ndoa kwa kujifanya wanakondoo kumbe ni mafisi tu.
 
Natamani nipewe likizo🤣🤣🤣 nikitoka asubuhi, Ile jioni nikirudi namkuta mume kakonda, analalamika amenimiss🤣🤣🤣
 
Ezeulu Kweenu!!!
 
Hii kitu sielewagi,hata umpe mwanamke milioni akifua suruali na kukuta buku kumi ataibeba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…