Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
UchawiAnzia ngazi ya kaya hadi taifa utaelewa namaanisha nini..
Kubadilisha tabia ya mtu ni ngumu sana, kama mtu asili yake ni udokozi, umbea, uchoyo, ubinafsi, kulalamika na wivu hapo ujue kubadilika kwake si suala la mtu mwingine bali ni yeye mwenyewe ajibadilishe au hatima iamue..
Sijua anatoa wapi muda wa kunyang'anyana remote na wifeL
Labda sio mtu wa liquid
Akianza tu na ma tamthilia yake we unakula kona
Kwa hiyo mkuu wewe mke wako au watoto wako hawajui password yako?ubahili ndiyo unaomsumbua huyu. Hiyo tigopesa anapata vipi fedha kama hakumpa password mwenyewe?
Hayo ya watoto kutoa matusi alitakiwa na yeye awe na msimamo asiruhusu hivyo vitu.
Umetukosea adabu sisi wazaramo!Mkuu pole sana kwa kuoa uzaramuni🤣 wao tabia za kihuni kwao ni kawaida. Ameenda mafunzo huyo akirudi kinawaka tena atakagua kama umesajili koloni jipya.
Aseeh😆Una tatizo dogo sana ndugu ukisikia hiki nachokuambia wewe hutamuona na tabia mbovu
Mkeo kakuzidi kwenye mzaganuano unamuacha njia panda
Hebu unapomtomba mtombe kweli kweli , tukana matusi yote wakati wa kumtomba uone kama ataendelea , kutukana watoto nyoko , ni dalili ya kuwa muwasho Huwa haumuishi
Fanya hivi mpigie cm huko huko kwao nenda ugeni kamshughulikie kwao hapo hapo yaani tomba kama hutakuka kukaza tena uone heshima itakavyorudi
Hatar mkuu yn had naogop kuingia hukoWakurungwa mnatutisha
Timbwili kama za Chausiku a.k.a Shamsa Ford🤣🤣🖐️Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi.
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo.
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda.
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku.
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka, hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli? Arudi ili nije kupata stress tena?
Ndoa..........mh!
Kweli tena anakuwa na kiti chake.Mwanamke mwenye adabu mume akifika sebuleni anamkabidhi remote....He is a King of the house.
Alikuwa amekupanda kichwani alikuwa anajua huna cha kumfanya we mwanaume suruali tu. Ivi mwanamke anaanzaje kufanya ushenzi huo kwa mwanaume hasa aliekamlika kuitwa 'baba wa familia'Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi.
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo.
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda.
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku.
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka, hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli? Arudi ili nije kupata stress tena?
Ndoa..........mh!
Mama mkwe huchunguzwa na kamati maalum ya wazee. Kwa kabila letu ukisema unataka kuoa kitu cha kwanza ni wazee kutumia utaalamu wao kumchunguza mama mkwe. Wakiona mama mkwe hana shida basi wanakupa baraka zote za kuoa. Kama mama mkwe ni kimeo watakuambia huyo mke mtarajiwa hafai ila hawatakulazimisha uachane nae. Mama mkwe mattersKwa zama hizi unawezaje kumchunguza mama mkwe?
Mnakutana daslam mama mkwe yupo kigoma mnaonana siku ya harusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu pole sana kwa kuoa uzaramuni[emoji1787] wao tabia za kihuni kwao ni kawaida. Ameenda mafunzo huyo akirudi kinawaka tena atakagua kama umesajili koloni jipya.
Sina!Endelea kulea upuuzi, unless huna mpango wa kumuoa
Kwa hiyo mnachezeana tu. OkSina!
mimi ni mke na sijui password ya mume wangu wala yeye hajui ya kwanguKwa hiyo mkuu wewe mke wako au watoto wako hawajui password yako?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
ni ujinga tu wa kutothamini au kutokujua tamaduni za watu ndiyo munaanza dharau.Mkuu pole sana kwa kuoa uzaramuni🤣 wao tabia za kihuni kwao ni kawaida. Ameenda mafunzo huyo akirudi kinawaka tena atakagua kama umesajili koloni jipya.