mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 23,965
- 131,949
Napiga selfie tu,mie siko singo, nna BabyCare
sijui wewe na mvua hii una savaiv vipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napiga selfie tu,mie siko singo, nna BabyCare
sijui wewe na mvua hii una savaiv vipi
hahaha, unatumia tango, kidole, dildo au vibrator ?Napiga selfie tu,
Vyote[emoji7]hahaha, unatumia tango, kidole, dildo au vibrator ?
Exactly, Scenario za ndoa chungu ukizichunguza kwa makini unagundua ni watu wanachokana na kuzembea kutengeneza mambo yao kabla hayajapotea kabisa. Vitu vingine just requires mawasiliano and its all over.Ukimpeleka kwao iwe umemuacha moja kwa moja na sio utegemee arudi amejirekebisha.
dah, mpaka nimedinda, haya banaVyote[emoji7]
Kuna wamama ni viazi mbatata, hawashaurikiUkimsafirisha aende kwa lazima hakuna ndoa hapo. Ndoa ni kubaki nae na kusolve tatizo.
Ndicho jamaa alichofanya anaishi kwa uhuru nahisi anatafuta product nyingine. Product zinatofautiana ubora na zingine zime-expireBiashara means mteja anafaidika.
Kitendo cha kumuoa maana yake umefurahia product. Sasa unanunua kitu tena bila kulazimishwa halafu unakitumia huku unalalamika. Achana nacho kanunue kingine😀
Unaweza kutengeneza na mwanamke mwenye akiliExactly, Scenario za ndoa chungu ukizichunguza kwa makini unagundua ni watu wanachokana na kuzembea kutengeneza mambo yao kabla hayajapotea kabisa. Vitu vingine just requires mawasiliano and its all over.
Bora abaki single nakwambia atapata product nyingine yenye changamoto zingine mpyaaaaaNdicho jamaa alichofanya anaishi kwa uhuru nahisi anatafuta product nyingine. Product zinatofautiana ubora na zingine zime-expire
Sasa hivi hata udokozi wa vihela vyake vya mpesa na vichenji vilivyobaki anavyoviweka juu ya meza vitakuwa salama. Kwanini asiombe?
Huyo mwanamke hata jamaa angekuwa na mali ipo siku akimuondoa duniani ili amiliki mali
Ndoa ni biashara ya mwanamke
Kimsingi, TV ni kwa ajili ya kukutanisha familia pamoja. Hizi za kuweka vyumbani zinasambaratisha familia, mnakuwa hamna umoja wala ushirikiano. Muda wa kuangalia TV ndio mnapiga story za pamoja na watoto nkNa ukiona mke anadokoa visenti vidogo ujue humpi pesa kwaajili ya matumizi yake binafsi.
Next time nunua Tv mbili moja weka chumbani uwe unapumzika huko bila bugudha. Tv ya sebuleni waachie mke na watoto. Ila mke wako ana mdomo nadhani hicho ndo ulimpendea tangu mwanzo.
Wengine tunatamani kupewa likizo hata ya siku mbili twende kwetu hatupewi .
Alafu ujue, hayo ndo madhara ya kuoa mwanamke Goalkeeper, unam-dominate kupita maelezo. Huyo mwanamke angekuwa na kipato au kazi nzuri, i am sure jamaa asingemrudisha kwao kama anarudisha gunia la viazi sijui. Na mwanamke kama hana kazi au kipato toshelevu kwa familia, more likely hana exposure ya kutosha pia kwenye maisha. Hapo inabidi uwe mvumilivu tu maana tabia zote za kiswahili utaziona, hahaUnaweza kutengeneza na mwanamke mwenye akili
Sijaona tuhuma ya kuchepuka, huyu Hana shida mkuu hizi zote zinavumilika... Sasa mkuu unaangalia Star TV wewe msukuma?Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!
Ndoa..........mh!
Na pia anadokoa kwa sababu hana kazi, huyo lazima awe GoalKeeper, Mwanamke anayeshinda nyumbani asubuhi hadi jioni 24/7, wanakuwaga na visirani sana. Wanawake nao wasipende kuolewa bila kuwa na vyanzo vya mapato vya kukidhi haja zao maana wanavunjiwa sana heshima, mtu anarudishwa tu nyumbani kama kifurushi, upumbavu sana.Na ukiona mke anadokoa visenti vidogo ujue humpi pesa kwaajili ya matumizi yake binafsi.
Next time nunua Tv mbili moja weka chumbani uwe unapumzika huko bila bugudha. Tv ya sebuleni waachie mke na watoto. Ila mke wako ana mdomo nadhani hicho ndo ulimpendea tangu mwanzo.
Wengine tunatamani kupewa likizo hata ya siku mbili twende kwetu hatupewi .
Ni madhara ya kutazama matako ya mwanamke kuliko AKILIAlafu ujue, hayo ndo madhara ya kuoa mwanamke Goalkeeper, unam-dominate kupita maelezo. Huyo mwanamke angekuwa na kipato au kazi nzuri, i am sure jamaa asingemrudisha kwao kama anarudisha gunia la viazi sijui. Na mwanamke kama hana kazi au kipato toshelevu kwa familia, more likely hana exposure ya kutosha pia kwenye maisha. Hapo inabidi uwe mvumilivu tu maana tabia zote za kiswahili utaziona, haha
Umuofia kwenu!!
Kama mada ilivyo, nimempeleka kwanza kwao kwa muda usiopungua miezi miwili.....akajifunze kitu (kama ni mwenye kujifunza). Siku moja tu baada ya kutoka kwake;........
1. Leo kwa mara ya kwanza, katika kipindi cha mwaka mmoja na nusu, nimefanikiwa kutulia nyumbani saa mbili usiku na kuangalia taarifa ya habari mwanzo mwisho. Kabla, ilikuwa sikai maana nikibadilisha channel tu na kuweka kituo changu pendwa cha Star TV kuangalia taarifa basi manung'uniko yenye kukera huanza kukimbizana kutoka nje ya kinywa chake.......
"Tutaacha vp kubadilishiwa channel wakati TV sio yetu na hata bei yake hatuijui..."
"Hata kuzima we zima tu, nini kubalisha channel" Dah
2. Nimepumzika kushuhudia mabegi na makwapa ya mke wangu yakionwa na watoto muda wote awapo nyumbani. Jitihada za kumrekebisha ili aendane na desturi yangu, daima huenda sambamba na ugomvi....
3. Nimepumzika kuona sura ya kununanuna pale ninapotoa maelekezo....
4. Udokozi wa vielfu tano tano vyangu katika tigopesa yangu utakoma kwa muda....
5. Nitapumzika kusikia matusi kama 'nyoko we' n.k yanayotolewa kwa watoto kila siku....
6. Nitafurahia vichenji vinavyobaki katika matumizi madogomadogo na kuziweka mezani. Kwa kawaida hivi hutoweka dakika moja tu baaada ya kuviweka.....hata kama akiwa amelala basi huamka ghafla na kuvichukua kisha kulala tena.
Mbona nina furaha sana sasa?!!! Atarudi kweli?!!!!! Arudi ili nije kupata stress tena?!!!!!!!
Ndoa..........mh!
Naona akili zako zimemezwa na papuchiKiongozi bora angebaki tu nyumbani na utumie njia nyingine kumrekebisha.
Huko ulikompeleka ndipo alipokulia na akawa hivyo alivyo. Hapo umeenda tu kumuongezea maujuzi na kumkutanisha na vibwana vyake vya kitaa.
Hapo umeongeza tatizo lingine Atarudi papuchi imechakaa