Baada ya Kumsajili kwa Kumkopa na Kushindwa Kummalizia Pesa zake 'Dusku' Kaamua kurejea Kwao Bondeni

Baada ya Kumsajili kwa Kumkopa na Kushindwa Kummalizia Pesa zake 'Dusku' Kaamua kurejea Kwao Bondeni

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuliko kupoteza muda na Wapuuzi na Wadhulumati wa Kigamboni Town ni bora Mimi 'Dusku' nirejee Kwetu ili nikasaidiane na Waimbaji wa Amapiano ili nijifunze Styles mpya za Kucheza Nyimbo zao.

Nimezoea kuona Wachezaji wengi Wakiondoka JNIA pale Terminal III Wakiwa ni Watu wenye Furaha na Uchangumfu ila kwa huyu 'Dusku' aliyeondoka Jana Alfajiri niliona akiwa na Nyuso iliyofura huku muda Wote akiwa Anasonya tu.

Yaani Hela yake ya Usajili mliyomkopa hamjammalizia na Kutwa tu mnamzungusha halafu hata hajakaa sawa Wachezaji wenu Wawili Wazawa Mmoja aliyeumia Lilongwe kwa Kuanguka vibaya kama Gunia la Viazi la Lumbesa Soko la Mwanjelwa na mwingine Wiki iliyopita aliingia Sub na bado tena akafanyiwa Sub kutokana na Kurukaruka Kwake tu Uwanjani na Rasta Uchwara zake za akina Dada Maimuna wa Mwenge kwa Nyakati tofauti Wote Wanamroga ( Wanampiga Sindano za Asili ) huyu 'Dusku' wa Watu mnategemea atakaa Kweli?

Kasema atarudi mkimmalizia Fedha zake na mkiitisha Kikao na Wachezaji wenu ili muwaambie kuwa Waache Kurogana hovyo kwani Wanaumizana na Wanaiumiza Klabu kwani huenda kwa tabia hii ya Wachezaji kupigana Sindano za Asili ( Kurogana ) kama ambavyo hata Mchezaji Aziza Key amekuwa Akilalamika mno inaweza Kusababisha Wachezaji Wakubwa, Mahiri na Tegemeo wakawa ni Majeruhi na Timu ikapotea kabisa Kimatokeo huku Mnyama Yeye akichanja zake Mbuga tu kwa Maushindi yake.

Kudadadeki.....!!
 
Kuliko kupoteza muda na Wapuuzi na Wadhulumati wa Kigamboni Town ni bora Mimi 'Dusku' nirejee Kwetu ili nikasaidiane na Waimbaji wa Amapiano ili nijifunze Styles mpya za Kucheza Nyimbo zao.

Nimezoea kuona Wachezaji wengi Wakiondoka JNIA pale Terminal III Wakiwa ni Watu wenye Furaha na Uchangumfu ila kwa huyu 'Dusku' aliyeondoka Jana Alfajiri niliona akiwa na Nyuso iliyofura huku muda Wote akiwa Anasonya tu.

Yaani Hela yake ya Usajili mliyomkopa hamjammalizia na Kutwa tu mnamzungusha halafu hata hajakaa sawa Wachezaji wenu Wawili Wazawa Mmoja aliyeumia Lilongwe kwa Kuanguka vibaya kama Gunia la Viazi la Lumbesa Soko la Mwanjelwa na mwingine Wiki iliyopita aliingia Sub na bado tena akafanyiwa Sub kutokana na Kurukaruka Kwake tu Uwanjani na Rasta Uchwara zake za akina Dada Maimuna wa Mwenge kwa Nyakati tofauti Wote Wanamroga ( Wanampiga Sindano za Asili ) huyu 'Dusku' wa Watu mnategemea atakaa Kweli?

Kasema atarudi mkimmalizia Fedha zake na mkiitisha Kikao na Wachezaji wenu ili muwaambie kuwa Waache Kurogana hovyo kwani Wanaumizana na Wanaiumiza Klabu kwani huenda kwa tabia hii ya Wachezaji kupigana Sindano za Asili ( Kurogana ) kama ambavyo hata Mchezaji Aziza Key amekuwa Akilalamika mno inaweza Kusababisha Wachezaji Wakubwa, Mahiri na Tegemeo wakawa ni Majeruhi na Timu ikapotea kabisa Kimatokeo huku Mnyama Yeye akichanja zake Mbuga tu kwa Maushindi yake.

Kudadadeki.....!!
Ngoja wala mihogo waamke wakushukie kama mwewe
 
Pilau ipikwe kwa jirani lakini mapungufu ya viungo vyake ulalamike wewe, kisa eti tu harufu yake haikupendezi. Hangaika na mapishi ya makande katika nyumba yako.
 
Kuliko kupoteza muda na Wapuuzi na Wadhulumati wa Kigamboni Town ni bora Mimi 'Dusku' nirejee Kwetu ili nikasaidiane na Waimbaji wa Amapiano ili nijifunze Styles mpya za Kucheza Nyimbo zao.

Nimezoea kuona Wachezaji wengi Wakiondoka JNIA pale Terminal III Wakiwa ni Watu wenye Furaha na Uchangumfu ila kwa huyu 'Dusku' aliyeondoka Jana Alfajiri niliona akiwa na Nyuso iliyofura huku muda Wote akiwa Anasonya tu.

Yaani Hela yake ya Usajili mliyomkopa hamjammalizia na Kutwa tu mnamzungusha halafu hata hajakaa sawa Wachezaji wenu Wawili Wazawa Mmoja aliyeumia Lilongwe kwa Kuanguka vibaya kama Gunia la Viazi la Lumbesa Soko la Mwanjelwa na mwingine Wiki iliyopita aliingia Sub na bado tena akafanyiwa Sub kutokana na Kurukaruka Kwake tu Uwanjani na Rasta Uchwara zake za akina Dada Maimuna wa Mwenge kwa Nyakati tofauti Wote Wanamroga ( Wanampiga Sindano za Asili ) huyu 'Dusku' wa Watu mnategemea atakaa Kweli?

Kasema atarudi mkimmalizia Fedha zake na mkiitisha Kikao na Wachezaji wenu ili muwaambie kuwa Waache Kurogana hovyo kwani Wanaumizana na Wanaiumiza Klabu kwani huenda kwa tabia hii ya Wachezaji kupigana Sindano za Asili ( Kurogana ) kama ambavyo hata Mchezaji Aziza Key amekuwa Akilalamika mno inaweza Kusababisha Wachezaji Wakubwa, Mahiri na Tegemeo wakawa ni Majeruhi na Timu ikapotea kabisa Kimatokeo huku Mnyama Yeye akichanja zake Mbuga tu kwa Maushindi yake.

Kudadadeki.....!!
Genta wewe ni mtani wangu kishabiki....hapo kwa yanga paache, ipo siku utakunya jiwe.
 
mkuu hapo kwenye kupigana sindano za asili sina pungamizi naunga mkono hoja. Yaan hainiingii akilini Skudu acheze dk 7 tuu halafu aumie NEVER!
Wewe unaukosefu wa maarifa. Kwahiyo aliumia mwenyewe pasipo kuchezewa rafu? Kuna wachezaji ulaya wanacheza dakika mbili tu na kutolewa nje kwa kuumia sasa dakika saba ajabu ni nini? Unaonekana maswala ya mpira huyajui
 
mkuu hapo kwenye kupigana sindano za asili sina pungamizi naunga mkono hoja. Yaan hainiingii akilini Skudu acheze dk 7 tuu halafu aumie NEVER!
Duuh mzee ile rafu ya akamiko hv uliiona vzuri? Acheni imani za kishirikina. Halafu pia jamaa ana injury za mara kwa mara. Halafu pia acheni habari za udaku
 
mkuu hapo kwenye kupigana sindano za asili sina pungamizi naunga mkono hoja. Yaan hainiingii akilini Skudu acheze dk 7 tuu halafu aumie NEVER!
Hivi akina Denis Nkane na Crispin Ngushi wanatokea Mikoa gani hapa Tanzania?
 
Safari yake inahusiana na suala hati yake ya kusafiria.
View: https://youtu.be/f_J6S8P1x_w?si=kci5LNw8hJiRofDf

Tanzania hakuna Ubalozi wa South Africa? Nina Rafiki zangu wako USA Wao Passport zao zikiisha au hata wakitaka tu Kuzihuisha ( Renew ) huenda tu Ubalozini ( huko huko Marekani ) na wanashughulikiwa hadi Kuzipata tena hata bila ya kuja huku Tanzania.

Katafute wa Kuwaokota Mkuu sawa?
 
Back
Top Bottom