Hivi ile sub haiwezi kuwa rekodi kwenye ligi yetu? Mchezaji anaingia kama sub halafu kwa kiwango chake hafifu anatolewa tena kama sub. Nilicheka saanamwingine Wiki iliyopita aliingia Sub na bado tena akafanyiwa Sub kutokana na Kurukaruka Kwake tu Uwanjani
Kudadadeki.....!!
Sehemu pekee nisiyoijua Tanzania ni Ikulu mpya tu ya Makao Makuu ya nchi Dodoma.Unapajua mwanjelwa alias Docs?
Mkuu nikusaidie, Balozi za Tz nyingi ughaibuni kazi Yao ni kuhudhuria sherehe tu mkiwaalika hawana msaada wowote hata ukifa ni umoja wenu Diaspora wa nchi uliyopo ndo watachanga pesa na kukusafirisha home!Tanzania hakuna Ubalozi wa South Africa? Nina Rafiki zangu wako USA Wao Passport zao zikiisha au hata wakitaka tu Kuzihuisha ( Renew ) huenda tu Ubalozini ( huko huko Marekani ) na wanashughulikiwa hadi Kuzipata tena hata bila ya kuja huku Tanzania.
Katafute wa Kuwaokota Mkuu sawa?
We mbumbumbu, Yanga hakunaga matahiraMimi ni YANGA damu ila viongozi wa yanga Ni MATAPELI sana hapo bado Morrison anatudai