Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Habari Mad Max.
Samahani, nishauri kitu.
Nafikiria kwenda a single day vacation Bagamoyo na girlfriend wangu.

Nimeona wewe mtu wa pili unaitaja hii hotel. Ushawahi kufika? Ni pazuri eeeh

Niandae bajeti kiasi gani roughly kwa vacation ya siku moja. Yaani tunaenda Leo, tuna spend our good time. Then tunarudi kesho yake mapema.

NB:
Wote hatunywi pombe. Ni vyakula tu na soft drinks. Nina private car.

Sababu ya vacation:
Manzi amemaliza field. Wakati anajiandaa kurudi chuo October nataka nimtoe out moja ambayo ata refresh mind yake.
Poa sana Bro.

Nakumbuka nilienda 2021 kipindi kama hiki, nililala kwa 90k per night kama sijakosea. Wana free breakfast. Ila wanapika lunch na dinner kwa special order ila bei za moto sana.

Kwahiyo mnaweza kufanya hivi, mkatoka Dar asubuhi mfano saa 4, mkafika pale by saa 6 mkachukua room. Kuanzia saa 8 mchana mkaenda Snake Park ipo uko Bagamoyo kuna misosi, na kuna zoo mtajifunz something.

Hafu mkarudi Mkalala. Kesho yake after breakfast na ku checkout mkaenda kanisa kongwe mkapata historia kidogo ya Bagamoyo hadi mchana mnakua mmemaliza. Mkianza safari mnarudi mnapitia Beach za Ununio mnapata msosi na upepo hafu usiku mnarudi Dar.

Naona budget kila kitu inafika 200k kuanzia mafuta.

Tukirudi kwenye a day vacation ya Bagamoyo na kulala hapo Firefly is it Worthy? Mi ningesema NO. 200k kubwa sana..

Nikupe second option?
 
Habari Mad Max.
Samahani, nishauri kitu.
Nafikiria kwenda a single day vacation Bagamoyo na girlfriend wangu.

Nimeona wewe mtu wa pili unaitaja hii hotel. Ushawahi kufika? Ni pazuri eeeh

Niandae bajeti kiasi gani roughly kwa vacation ya siku moja. Yaani tunaenda Leo, tuna spend our good time. Then tunarudi kesho yake mapema.

NB:
Wote hatunywi pombe. Ni vyakula tu na soft drinks. Nina private car.

Sababu ya vacation:
Manzi amemaliza field. Wakati anajiandaa kurudi chuo October nataka nimtoe out moja ambayo ata refresh mind yake.
Second Option.

Kama haujawahi kwenda Ushoroba (Pugu Natural Forest) ungeenda. Mkafanya camping. Gharama zote na mafuta kutokea Dar haitazidi 100k maximum kabisa kabisa.

Activities:
Mtafanya Hiking, mtaendesha boat, mta walk katika nature, very beautiful view, mtalala kwenye tent, usiku mtakua na bonfire, hafu hakuna network ya kuingia TikTok labda ya kujibu SMS na kupokea simu kwahiyo mtakua busy kuongea like old times, mkiweka order mtachoma nyama.

Gharama: kuingia, tent, ulinzi jumla approximately 40k, kasoro msosi. Mtaenda mmenunua juice, maji, na mtaenda na mashuka mawili.

The rest gharama za kula tu ambazo chakula sio expensive maana kinatoka Kisarawe kinaletwa na boda elfu 2 boda.
 
Poa sana Bro.

Nakumbuka nilienda 2021 kipindi kama hiki, nililala kwa 90k per night kama sijakosea. Wana free breakfast. Ila wanapika lunch na dinner kwa special order ila bei za moto sana.

Kwahiyo mnaweza kufanya hivi, mkatoka Dar asubuhi mfano saa 4, mkafika pale by saa 6 mkachukua room. Kuanzia saa 8 mchana mkaenda Snake Park ipo uko Bagamoyo kuna misosi, na kuna zoo mtajifunz something.

Hafu mkarudi Mkalala. Kesho yake after breakfast na ku checkout mkaenda kanisa kongwe mkapata historia kidogo ya Bagamoyo hadi mchana mnakua mmemaliza. Mkianza safari mnarudi mnapitia Beach za Ununio mnapata msosi na upepo hafu usiku mnarudi Dar.

Naona budget kila kitu inafika 200k kuanzia mafuta.

Tukirudi kwenye a day vacation ya Bagamoyo na kulala hapo Firefly is it Worthy? Mi ningesema NO. 200k kubwa sana..

Nikupe second option?
Hehehe.... umejuaje broo!!
Hapa nilikua nasoma hizo gharama huku nang'ata meno 😅😅

Nipe second option bro. Yenye cost-effective nasepa nayo hiyohiyoo
 
Second Option.

Kama haujawahi kwenda Ushoroba (Pugu Natural Forest) ungeenda. Mkafanya camping. Gharama zote na mafuta kutokea Dar haitazidi 100k maximum kabisa kabisa.

Activities:
Mtafanya Hiking, mtaendesha boat, mta walk katika nature, very beautiful view, mtalala kwenye tent, usiku mtakua na bonfire, hafu hakuna network ya kuingia TikTok labda ya kujibu SMS na kupokea simu kwahiyo mtakua busy kuongea like old times, mkiweka order mtachoma nyama.

Gharama: kuingia, tent, ulinzi jumla approximately 40k, kasoro msosi. Mtaenda mmenunua juice, maji, na mtaenda na mashuka mawili.

The rest gharama za kula tu ambazo chakula sio expensive maana kinatoka Kisarawe kinaletwa na boda elfu 2 boda.
Sasa kulala kwenye tent usiku, vipi kuhusu Wanyama wakali? Nyoka?
 
Hehehe.... umejuaje broo!!
Hapa nilikua nasoma hizo gharama huku nang'ata meno 😅😅

Nipe second option bro. Yenye cost-effective nasepa nayo hiyohiyoo
Nenda Ushoroba bro. Uta enjoy 100 times na hautajutia hela yako.

Ngoja nashare baadhi ya pic nilizopiga.
1000114167.jpg
1000114199.jpg
1000094050.jpg


Ningekushauri uende camp Vikindu napo pana Natural Forest ila hamna activities nyingi. Nilienda camp last week hapakua pazuri sana.
 
Nimecheka 😂😂😂

Pako salama, TFS (Tanzania Forests Service) ndio wanapashikiria. Izo ni Forest Reserve hakuna wanyama wakali, ni usalama 100%.

Try it. Nasema uta enjoy.
Asante sana.

Last question: hizo tent zinakua na godoro/mito kwa chini.
Wanaruhusu kulala wawili ndani ya tent moja?
 
Asante sana.

Last question: hizo tent zinakua na godoro/mito kwa chini.
Wanaruhusu kulala wawili ndani ya tent moja?
Ndio. Kuna Magodoro mazuri kabisa ila mito mi uwa nabeba.

Mnaruhusiwa kulala ndio wawili (couple), zipo tent kubwa hadi za watu 10 zile ambazo mnaenda kama group.

Unaweza chukua tent ambayo ipo juu mbao kama hii.

1000123187.jpg
 
Second Option.

Kama haujawahi kwenda Ushoroba (Pugu Natural Forest) ungeenda. Mkafanya camping. Gharama zote na mafuta kutokea Dar haitazidi 100k maximum kabisa kabisa.

Activities:
Mtafanya Hiking, mtaendesha boat, mta walk katika nature, very beautiful view, mtalala kwenye tent, usiku mtakua na bonfire, hafu hakuna network ya kuingia TikTok labda ya kujibu SMS na kupokea simu kwahiyo mtakua busy kuongea like old times, mkiweka order mtachoma nyama.

Gharama: kuingia, tent, ulinzi jumla approximately 40k, kasoro msosi. Mtaenda mmenunua juice, maji, na mtaenda na mashuka mawili.

The rest gharama za kula tu ambazo chakula sio expensive maana kinatoka Kisarawe kinaletwa na boda elfu 2 boda.
Hii naichuku
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Njoo nkupe mimi show hatar
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
0654537771
 
Asante sana.

Last question: hizo tent zinakua na godoro/mito kwa chini.
Wanaruhusu kulala wawili ndani ya tent moja?
Ukiwa tayari nitaweka namba ya moja ya tour guide wa pale. Ili kuwauliza zaidi na kuweka reservation mfano ya tent.

PS: Kama unapenda sport fishing (kuvua samaki) pia ipo.
 
🤣🤣🤣mmeshindwa out..ombana huko ndani kwenu hotelin mtaweza?si atakesha kaunta ya hotel🤣🤣
Jamaa hana nguvu za kiume that's y kajificha kujichatisha hovyo🤣🤣joka la kibisa hilo
Tafuta mwanaume akutoe genye hizo
 
Ndio. Kuna Magodoro mazuri kabisa ila mito mi uwa nabeba.

Mnaruhusiwa kulala ndio wawili (couple), zipo tent kubwa hadi za watu 10 zile ambazo mnaenda kama group.

Unaweza chukua tent ambayo ipo juu mbao kama hii.

View attachment 2746351

Nice....
One shot, msalani inakuweje? Kuoga je? Bafu... au ndo mkilala usiku mnaingia na kandoo kwa kujisaidia hadi asubuhi?

Tochi muhimu kwenda nayo ama umeme upo? Kuna wale wakimaliza mbio za horizonto wanataka waoge na huwa zinakimbizwa usiku, sasa utoke kwenye tent na giza bafu au ndoo au ndo kujitupa mtoni...??

Kulala na jasho la mbio na ukwaro wa kati jau...😬
 
Back
Top Bottom