Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Wanaume kwa kupenda kudeka na kujiendekeza! Yaani mkosee nyie na bado mbembelezwe. Kuuumbafuuu.

Unamuendekeza sana huyo mwanaume, na ashakuona zuzu ndio maana anakufanyia visa. Tafuta kipoozeo kuwa busy na mambo yako na watoto.
 
Anachati nao tu??Surely!!!!

Ndiyo nikauuliza...Umedhibitisha vipi juu ya hilo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vitu vingine bwana!!
Na wenye udhaifu hupenda kuhangaika badala watulie na wake zao wawafichie aibu zao.
 
Kama ulivyomvunja confidence yake basi jaribu kuijenga tena. Anzia mbali kwa msg za mahaba akiwa kazini, kumwambia jinsi gani umemmiss hiyo miezi minne. Epuka lawama na kukumbushia madhaifu yake, taratibu atakuomba utamu.

Asilimia kubwa wanaoamini wana upungufu wa nguvu za kiume kiuhalisia ni kukosa kujiamini tu. Hata wanaume wengi tukijichunguza kuna sehemu tunapiga show mpaka wenyewe tunajishangaa na kwingine ukienda unaweza nyonywa hadi ubongo na ngoma isiinuke. Hii yote huchangiwa na maandalizi ya kisaikoloji baina ya wenza na mapokezi kabla ya tendo.

Unakuta li mwanamke toka upo kazini anafululiza msg za malalamiko tu. Ukirudi nyumbani limekaa mbele ya tv hata habari na wewe hana, kazi kujipiga piga kichwani sababu ya weaving chafu. Mkiingia chumbani ukaomba mzigo unasusiwa mwenyewe hata habari hana, halafu unatarajia mtu achiukue zaidi ya dakika 1.
Usemayo nikwelikabisa mkuu,aslimia kubwa yawanaodai hawana nguvu zakiume nimaswala yasaikologia Kwa Dunia yaleo ,wanawake wanachangia kuwafanya wanaume wakose nguvu zakiume kutokana namazunguzo Yao yasiyokua yakutia moyo wanaume ,Amani huimarika kutokana namuunganiko wakihusia baina ya wanandoa.
 
Inabidi ufikirie kuoutsource huduma ya sex la sivyo itakupa shida. Ila angalia tu usije kulowea humo sasa.
 
Wanaume kwa kupenda kudeka na kujiendekeza! Yaani mkosee nyie na bado mbembelezwe. Kuuumbafuuu.

Unamuendekeza sana huyo mwanaume, na ashakuona zuzu ndio maana anakufanyia visa. Tafuta kipoozeo kuwa busy na mambo yako na watoto.
Nyie ndio waharibifu,hicho kipoozeo kipo nawe sababu ya mteremko,upigwe chini sasa uone kama kitakuwepo
 
Check kauli zako kwa mume, jiulizeni nguvu za kiume kwann zipungue ndani tu lakini nje zipo tele, wanaume si waongeaji si wapenda kelele, chini kunaendana na juu akili kama ipo safi haichafuliwa na maneno ya kuudhi ya mwanamke chini uwa safi tu. Wanawake ndo chanzo cha wanaume kupungua kwa nguvu za kiume.
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Ulikosea saana kumtamkia maneno hayo, hii pia inaonesha hata mwanaume wako kushindwa kuperform inategemea nawewe mwenyewe the way unamtreat, pia inaonekan ur not active kwenye sex pia inaoneakana wewe ni mtu mwenye majibu saan.
Vitu hivyo vinamfanya mmeo asione umuhimu wa kukufanya ulidhike wala kujituma kwkako. Lkin pia yawezekan ulishawah kumcheat na akatambua hilo. Ila kama vyote hivyo hujawah kufanya basi mmeo anashida nyinyine tu 🙏
 
Jingine ni hatari sana kuolewa na mtu mzima au aliyekuzidi Sana umri maana atafika haraka umri wa kufikiria maisha zaidi kuliko ngono, wakati wwee bado upo umri wa kuwaza ngono mwenzio ashavuka stage hio. So ni bora muoane nyote vijana Ili mpate mda mwingi wa kufanyana ngono hadi muote sugu,mvuke umri wa ngono mkiwa pamoja maana maisha ya ndoa ni zaidi ya ngono ni kipart tu. Lengo la ndoa ni kulea na kuendeleza familia. Kama unaolewa kwa kufuata ngono bado ni bora ubakie kwenu ukinai gono kwanza Ili kuepusha hatari ya talaka. Pili wanaume wengi wakifika utu uzima hamu na nguvu upungua. Tatu kuku unaemfuga mwenyewe speed ya nn si ataingia bandani? Tofauti na kuku wa kununua maana bahati haiji mara mbili.
 
Hapo ni yeye na akili zake sasa. Au anyetuke kama tatizo litakuwa sugu.
Kikiota mbawa usiende kwa Mwamposa kutia huruma,wengi wao pale waliyakoroga wenyewe baada ya kutoijua thamani kabla
 
Kikiota mbawa usiende kwa Mwamposa kutia huruma,wengi wao pale waliyakoroga wenyewe baada ya kutoijua thamani kabla
Hizo ni options na yeye awe tayari kuzivaa consequence za maamuzi yake,
 
Kwanza kaa mbali na simu ya mumeo, itakunyima amani bure, mimi binafsi nachat na wanawake, ni kitu napenda sana, hunipa raha fulani hivi, yaani vigumu hata kueleza, kunao nimechat miaka na sijawahi kuwagusa kimapenzi, tunapelekeshana tu humo humo kwenye chat.
Mke wangu kwa kiherehere chake aliwahi kuzisoma baadhi ya SMS zangu akaibua mtiti wa ajabu ambao hatujawahi kupona tukarudia kama awali.

Wanaume wengi tuko hivyo, hauwezi kutuzuia kuchat na hawa malkia, ila haimaanishi sikupendi kama mke wangu, japo huwa tunachat kwa siri, sijui uboya wa huyo mumeo mpaka akuonyeshe anavyochat na wanawake wengine, nahisi naye kazidi mpaka ikawa dharau sasa.

Pia kwako wewe kumtamkia kwamba yeye mtu wa dakika moja kitandani ni jambo mbaya sana, wanaume sisi ni watu wa viburi, tunapenda kutunisha misuli na kujiona mabingwa, sasa ukija kutushusha hicho kiburi utatumaliza.
Hiyo ndoa yenu ina matatizo na mnapaswa aidha mshauriwe au mkae chini muongee.

Lakini pia mumeo atafute ushauri wa namna gani ya kuridhisha mwanamke kitandani, kuna kipindi nguvu zangu zilikua zimepungua ila nilifuata mbinu fulani fulani mpaka nikaja kuwa simba tena, leo hii mke na michepuko yangu hawana hamu na mimi maana nawakamata hadi wanaomba po!
 
Hapo sasa mamii ukae kwa kutulia ungoje kuletewa watoto wa umri sawa na ulionao hapo kutoka kwa michepuko yake.
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Hapo sasa mamii ukae kwa kutulia ungoje kuletewa watoto wa umri sawa na ulionao hapo kutoka kwa michepuko yake.
 
Kwanza kaa mbali na simu ya mumeo, itakunyima amani bure, mimi binafsi nachat na wanawake, ni kitu napenda sana, hunipa raha fulani hivi, yaani vigumu hata kueleza, kunao nimechat miaka na sijawahi kuwagusa kimapenzi, tunapelekeshana tu humo humo kwenye chat.
Mke wangu kwa kiherehere chake aliwahi kuzisoma baadhi ya SMS zangu akaibua mtiti wa ajabu ambao hatujawahi kupona tukarudia kama awali.

Wanaume wengi tuko hivyo, hauwezi kutuzuia kuchat na hawa malkia, ila haimaanishi sikupendi kama mke wangu, japo huwa tunachat kwa siri, sijui uboya wa huyo mumeo mpaka akuonyeshe anavyochat na wanawake wengine, nahisi naye kazidi mpaka ikawa dharau sasa.

Pia kwako wewe kumtamkia kwamba yeye mtu wa dakika moja kitandani ni jambo mbaya sana, wanaume sisi ni watu wa viburi, tunapenda kutunisha misuli na kujiona mabingwa, sasa ukija kutushusha hicho kiburi utatumaliza.
Hiyo ndoa yenu ina matatizo na mnapaswa aidha mshauriwe au mkae chini muongee.

Lakini pia mumeo atafute ushauri wa namna gani ya kuridhisha mwanamke kitandani, kuna kipindi nguvu zangu zilikua zimepungua ila nilifuata mbinu fulani fulani mpaka nikaja kuwa simba tena, leo hii mke na michepuko yangu hawana hamu na mimi maana nawakamata hadi wanaomba po!
Hii ya kupekua simu ya mume kuna mdada ndo ilikuwa zake sa kumbe mmewe alikuwa anapewa ndogo na michepuko na malaya huko basi bwana kuna siku bidada akakuta sms mmewe anaitwa akanyewe. Hii kesi ilienda kumalizwa na baba paroko
 
Back
Top Bottom