Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Wanaume wasio jielewa kama huyo wakwako wapo wengi sana, pole sana dada, nenda kwa aliyewafungisha ndoa mwambie unaishi na mayai ya jogoo nyumbani na sahizi yanaelekea kuwa mayai viza.Kisa nimekwambia ukweli? Au kisa nn??
Mi nilishazoea iyo hali hasira zinakuja mtu ndan hamfanyi unavumilia tu kumbe mwenzio wanawake kila kukicha
Bàsi angekua fair nje anafanya na mimi ananifanya naridhika wala isingekua kesi