Kwanza muombe samahan,, pia mwambie tu kuwa waga unaridhika ila tu ulimtamkia vile ili aache tabia yake mby ya kuchart na hao malaya wake baada ya ww kumuonya ila hasikii,, haikuwa kusdio lako,,ukiona amekaa sawa sasa jaribu kumutengeza ili akuridhishe kwene tendo,,,
Jaribu kumwambia ili uridhike vizr mme fanya hiv na hiv ww unavyojifeel,,, maana hakuna mtu yyte atakae kuja kukusaidia ili ww ulidhike nje na ww mwenyewe... pengne labda uanze kuchit,, na sikushuli uanze huu ushetan wa kuchit nje ni mbaya sana,, inawezekana kabisa ukamfanya mmeo akakuridhisha kabisa kupitia maneno yako utakayo mwmbia....