Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Baada ya kumwambia mume wangu haniridhishi, kasitisha kufanya tendo la ndoa na mimi kabisa

Nice....
One shot, msalani inakuweje? Kuoga je? Bafu... au ndo mkilala usiku mnaingia na kandoo kwa kujisaidia hadi asubuhi?

Tochi muhimu kwenda nayo ama umeme upo? Kuna wale wakimaliza mbio za horizonto wanataka waoge na huwa zinakimbizwa usiku, sasa utoke kwenye tent na giza bafu au ndoo au ndo kujitupa mtoni...??

Kulala na jasho la mbio na ukwaro wa kati jau...😬
1. Kuna vyoo vizuri kabisa, na utaoga hapo hapo. Maji yapo yana flow kwenye bomba maana kuna ma simtank wanayaifadhi.

2. Umeme upo. Utachaji simu. Utaangalia movie ila sidhani kama utaenda na PC. Hakuna haja ya tochi. Labda ya simu yako kumulika ndani ya tent.

3. You are funny 🤣🤣🤣🤣
 
Kasie Mlolongo moneytalk

Kama mnasikilizaga Bongo Fleva, wimbo wa Diamond na Zuhura, Mtasubiri sana, ndio walichukulia video pale. Verse ya kwanza yote. Ile kanisa lipo Minaki Secondary (ipo opposite na hapo Ushoroba) na bwawa lote ile mandhari ya kijani ni hapo Ushoroba.

1000123188.jpg
 
Iko hivi mr alikuwa mtu wa kuchat na wanawake mara kwa mara sms za mapenzi. Kwa madai yake ni hulka yake tu lkn hafanyi nao mapenzi. Ni kitu kimekuwa cha miaka sasa, unakemea anaacha baada ya muda anaendelea tena

Kuna siku nikakuta anachati na mdada tunafahamiana kabisa tena sms za mapenzi wakati huo mimi ndani tunamaliza hata mwezi bila kusex iliniuma sana nikajikuta namtakia neno hili.

Nanukuu
Kwanini unaniabisha hivi tangu umenioa haujawahi kuniridhisha unafanya dakika 1 umemaliza mimi ni mkeo nakupenda nimekubali udhaifu wako.

Huyo wa nje unafikiri atakufichia hii aibu? Au ndio atakutangaza tuaibike mtaani? Baada ya kumwambia hivyo alisitisha tendo nadhani mpaka sasa miez 4 bila bila anadai baada ya kumwambia hivyo hisia na mimi zilikata haoni kama tunaweza fanya chochote.

Je, nifanyeje? Mi hasira zilinipanda mtu ndani sex unapimiwa halafu kutwa ni kuchat na wanawake tu.
Tuwasiliane 0717 322 244. Achana na huyo boya, Nitakukuna ufurahi, Nitakuridhisha fresh kabisa. Ntakunyonya K, uta-enjoy vizuri tu
 
Kuna wanawake midomo yao ina laana na sumu ndani ya nyumba, yaani kama vile unakaa na shetani ndani ya nyumba, very toxic kuishi nao, so jipime
 
Sa hapo ataendelea kufanyaje tena wakati huridhishwi?
Kiukweli kabisa wanawake wanao olewa kipindi hichi cha vumbi la kongo ni ngumu sana kuwaridhisha mana walisha zoea kupakiwa
 
Nimecheka [emoji23][emoji23][emoji23]

Pako salama, TFS (Tanzania Forests Service) ndio wanapashikiria. Izo ni Forest Reserve hakuna wanyama wakali, ni usalama 100%.

Try it. Nasema uta enjoy.
Hii naona nzuri hakuna kelele mfano usiku nikiwa muumini wa Meditation?
 
Back
Top Bottom