Baada ya kunikula kanichunia

ndoa hadi niipate na nyingine kwanza, ili niamini kama ni kweli

Hebu niambie kwanza bikira inatoka mara ngapii yaani mpk unasema hapa nishamaliza kutoa
 
kwani UTU ndo bikra? sasa mbona wewe UTU unao lakini bikra Huna?
Ila tusammeheane utalipwa mbinguni

Mimi kama mimi sijakukosea kitu ila wewe ndio umenikosea yaani unibikiri afu uuchune
 
Hahahahaha!Frank kunywa soda nakuja kulipa...
 
Kwanza sio bikra ni bikira


Anyway sijaandika kumuhakikishia mtu nimeandika nipate hafueni nimechoka kuumia kimyakimya
Madhara ya kumchunia kumtunuku tunda huo muda ni mrefu sana kumpea na sasa alipoonja amekuta hakuna uhalisia wa kile unachodai u bikira.Kalinganisha mali yake iliyopotea muda mrefu na uongo wa kuwa bikira ameona asepe kimya kimya bila mtafaruku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…