Baada ya kunikula kanichunia

Bas sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo kwangu
 
Aseee mbaya na ubaya ukila block ....sipendi mtu aniblock wa kwanza Bora Mimi ni we wa kwanza kunublock....nyambafu kabisa uyo mwanaume alikuwa tu anakuvutia mda...useless man
 
Tangazo la biashara
 
Usiwaze, njoo inbox
 
Kati ya kitu mademu hawapendi kusimulia ni about a guy how bikiri her
 
Polee mamamzungu.

Rudi kwenye maadili, usitoe kitumbua hovyo mpaka umefunga pingu za maisha.

Ukiendekeza kukigawa kama zawadi za KUTUNUKU utaendelea kuanzisha nyuzi za kugundua kuwa haupendwi
 
...kama pamoja na kumtunuku bado alikula kwa mbinde zenu zile fahamu hakukufurahia,next time mtunuku mtu ukiwa umelewa kuepusha usumbufu kwa mwanaume ambao unaweza ukapelekea pamoja na kukuzindua bado asikupende...kwa umbali namtetea sababu masuala ya mahusiano ya mbali tulishakubaliana tuwaachie umoja wa mataifa na kingine mwanamke ni marufuku kutunishiana misuli na mwanaume (kwa kuwa kachelewa kukujibu na wewe unalipiza huo sio uanauke) na kwa tabia hiyo inaonesha utatoa mbususu kwa fujo kumkomoa...Mwisho Relux, assume kafa then endelea na maisha yako mengine achia Nature i-select.
 

 
nina swali.

Hivi kufanya mapenz na mwanaume before marriage ni dhambi au sio dhambi?
 
Mdogo wangu am real so sad for you...

Mwanaume anayekupenda na mwenye future na wewe anatakiwa KUFUATA taratibu zote ikiwemo kuja nyumba kwetu, kutoa mahari na mfunge ndoa!!! Toka lini kumtunuku mwanaume bikra yako nje ya ndoa kunakufanya wapekee????

Leo kakuacha, kesho anaolewa na mwingine utaenda kumwambia BIKRA yako imepotelea wapi? Atakuona ulikuwa mchepukaji na hata ikitokea sintofahamu ataamini maana kama uliweza kutunuku kabla ya ndoa utashindwa ukiwa kwenye ndoa???

WASICHANA tubadilike jamani!!! Sasa hivi amekuongeza kwenye ORODHA YA ALIOFANYA NAO NGONO NA HUENDA ALIOWEKA JIWE LA MSINGI!!!!

Amini usiamini MWANAUME anapokukuta BIKRA kwenye HONEYMOON yenu LAZIMA ATAKUHESHIMU SANA MAANA HAKUNA ZAWADI KUBWA KWAKE KAMA KUINGIA KWENYE NDOA UKIWA SEALED!!

Pole sana, samehe MOVE ON MDOGO WANGU.
 

Samahani ukifanya mara moja bikira inaweza kurudi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…