Hawezi, yule mtoto wa kishua kabisa.Hahahaha,sidhani Irene atafikia level za kuchangiwa km wengine, ila akianzisha foundation ya kusaidia mabinti
Halafu hawajui, mimi ni mwandishi wa habari za mastar sio mtunga udaku.Washamba hao sisi wengine hatupendi kufikiri sana bigup
Kuchanganya mafaili huwa ni kawaida mkuu 😂Sio huyu Mkuu, yule ni Jack Wolper.
Hivi kwanini mnawafananisha? Hawafanani kabisa!
Ofisi zako zipo location gani ndugu mwandishi?Halafu hawajui, mimi ni mwandishi wa habari za mastar sio mtunga udaku.
Kuokoka itakuwa ni Jingle ya kuitangaza na kuuzia hiyo filamWanasema huwezi kumtambua kwa kumtazama ama kwa mavazi yake kujua kama ameokoka, ila juzi kinguo alichovaa Mlimani City hakioneshi kuwa ameokoka.
It's like alikuwa anawinda hela za wastaafu 🏃♂️🏃♂️
Halafu kweli,ila km akiamua aje na foundation ya kitu fulani akafanya fundraising huyu binti ana watu anaeza kufanya mamilioni ya helaHawezi, yule mtoto wa kishua kabisa.
Foundation sidhani, huyu ni mvivu hanaga muendelezo wa mambo yake. Kila anachoanzisha hakidumu hata miezi kinakufa.
Hiyo biashara anaiweza sana Gigy Money, alitangaza vizuri na watu wakamjua nabii Malisa kupitia hilo tangazo.Halafu ukiona wanatangaza hadi kanisa ujue ni biashara hiyo
Anamtaka nani Mrs Ndikumana au Mrs jack pemba????Mimi hata sina huo utoto wa mjini Mkuu, ni ukaribu wangu tu na hao watu ndio wanaonipa taarifa za ndaaaani kabisa.
Ngoja tuone huenda Nelson Jacob Kagame akasaidia. Mcheki PM kama vipi.
kwanini nipone, kwani ina tatizo lipi?Ushapona U.T.I?
Ana watu na connection na wakubwa ila ndio mvivuuuuu hafai!Halafu kweli,ila km akiamua aje na foundation ya kitu fulani akafanya fundraising huyu binti ana watu anaeza kufanya mamilioni ya hela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaenda sana dear huko majumba ya Ibada ni show off
Nowadays Wana msemo wao wanasema Kuna Mungu na mganga,Kuna msanii kaimba kamsifia mganga wake kabisa ktk nyimbo "kamng'aze"Kuna mmoja Yuko pale mwananyamala Kwa mama Zakaria bondeni kidogo, mwingine Mbagala kichemchem
Dada nimestaafu umbea
Byeeee[emoji1751][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hahaha ila wewe umewaza nini? [emoji1787][emoji1787]Hao kina lode km sponsors hawakuwa na buzznes card kazi wanayo, kuwadi kaokoka sasa.
Itakuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujawahi toa tangazo, ila ikiwa unahitaji basi tuwasiliane naweza kukufanya kutabasamu daima.vipi unataka kuchangia ofisi? 🤣🤣
Ila Tessy amekaa ki wife material naona..na hivi alivyopungua. Namfananisha sana na Caren sijui kwa niniHivi danga alilonyang’anywa na Tessy lilikuwa jipi!
Kidogo awe kichaa dada wa watu!