Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Mmoja akaanzisha na ki taasisi cha figo, wakati mambo ya figo hayana pesa...



Angeanzisha ki taasisi cha UKIMWI angepiga pesa balaa...
Mwenyewe anakataa hadi kesho hadi wimbo alitunga, aanzishe hiyo ili muanze kumsema?

Yule mwenzie wa Chorus sijui kaishia wapi masikini! Juzi kati Kusaga alijaribu kuwakusanya tena ila ndio hivyo too late.
 
Vipi kule kwenye page zake ameacha kuposti mapozi pozi yake yale ya kimahaba? Hebu tuambieni uhusiano wake wa kindoa na dogo janja upo au haupo, lini hiyo ndoa ilivunjwa kisheria? Maana huko nako wapo wanaume watataka kumuoa isije ika dogo janja akaweka pingamizi ndoa isifungwe.
 
huo wimbo nitautafuta. Kaokoka kanisa gani tujue, kwa manabii na mitume au wachungaji wa kawaida? Mara paap naingia kwenye kanisa anakosali, na yeye ndiye yuko mbele anaabudisha/praise and worship team sitashangaa sana nitaabudu naye tu nikijua naye ni chombo safi cha Mungu
Kanisa gani bado sijajua, ngoja nitafuatilia.
 
Vipi kule kwenye page zake ameacha kuposti mapozi pozi yake yale ya kimahaba? Hebu tuambieni uhusiano wake wa kindoa na dogo janja upo au haupo, lini hiyo ndoa ilivunjwa kisheria? Maana huko nako wapo wanaume watataka kumuoa isije ika dogo janja akaweka pingamizi ndoa isifungwe.
Nimefuatilia sana huko kwa kiasi kikubwa ameacha, sasa hivi anapost kawaida tu.

Ndoa yake na Dogo ilivunjika kwa talaka kabisa, wameachana na wala Dogo hana habari naye katulizwa na mwingine mdogo kidogo kwa huyu na ana maokoto anamlea vizuri 🤣🤣
 
Mkuu, kama huna ufahamu mzuri wa hizi habari za mjini uwe unauliza kwa upole.

Yule ni Jackline Wolper, huyu ni Irene Uwoya.
Haya nenda kafanye homework hiyo nimekupa.
ila hawa wadada warembo/wazuri ni watata katika maisha yao ya kimapenzi na kiroho
 
Kivipi Mkuu?
makanisani wanaingia sana tu, mara kwa nani mara yule nabii wamealikwa kuchangia harambee za wanawake wa makanisa hayo na wanapewa heshima kubwa ila hawana ndoa stable za kuoeleweka. Wakiingia makanisani watafundisha nini kama si usingo mother wa kujitakia kama fasheni mpya ya maisha kwa wanawake?
 
Back
Top Bottom