Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Tunamkumbuka Mwenyezi Mungu wakati wa matatizo, na si nyakati za furaha.

Ee Mungu utusamehe.
 
Hao madogo ndio wepiiiii? Akina Lorde Mich?

Mi ninachojiuliza tu, ataacha na yale ‘mengine’? [emoji12]
Hao kina lode km sponsors hawakuwa na buzznes card kazi wanayo, kuwadi kaokoka sasa.
Itakuajeee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwanza alivorudi alimdate big potatoes,akarudi Kwa yule big fish Wa utopolo then akawa Kwa mshikaji mmoja tajiri mnoooo Yuko Kwenye migodi huyo ndo alikua funga kazi unaambiwa mshikaji alikua anatumia Dola tu na manoti vichenji chenji hanaga(niliambiwa lakini na mbea wangu)[emoji3][emoji3][emoji38]
Kipindi anadate na wa mgodi ndo alikua anafanya kufuru ya pesa, kuzurura duniani.
Ila akili kisoda hana hata sehemu ya kuegesha ubavu wake, lol
Sijui huwa wamerogwa khaaah
 
Babu hela zako zilipona kweli? Hukutamani kumpunguzia kibunda mtoto mzuri Uwoya?
Hahahaha..................alinambia eti ananionea huruma nitamfia kifuani

Kweli Babu yenu nimezeeka 😜
 
Kipindi anadate na wa mgodi ndo alikua anafanya kufuru ya pesa, kuzurura duniani.
Ila akili kisoda hana hata sehemu ya kuegesha ubavu wake, lol
Sijui huwa wamerogwa khaaah
Sio kurogwa tu,mambo mengi...
Chanzo Cha pesa unakijua?
Usione mtu anakumwagia tu mipesa,Kuna watu pesa zao Zina masharti,utafanyia anasa ila sio mambo ya muhimu!
 
Ila ni kweli
Gig,wolper,shishi Huwa wanasema ukweli kina lokole hawanaga Siri
Walishasema wameshindwa sn Kwa waganga 🤣
Hasa Lokole ndio kabisaaaa
Nyie mi nampenda sana Juma, ni mkweli sana.
 
Kwanza alivorudi alimdate big potatoes,akarudi Kwa yule big fish Wa utopolo then akawa Kwa mshikaji mmoja tajiri mnoooo Yuko Kwenye migodi huyo ndo alikua funga kazi unaambiwa mshikaji alikua anatumia Dola tu na manoti vichenji chenji hanaga(niliambiwa lakini na mbea wangu)[emoji3][emoji3][emoji38]
Huyo big potatoes ni nani jamani? Maana ilivuma sana anatoka na yule wa maokoto enzi zile kabla ya Mr. Yanga.

Kwahiyo wa mgodini walishaachana? Maana hata kabla ya kuokoka haeleweki siku hizi bata hamna.
 
Wolper Kwa za katoka maisha ya kawaida mnoo anapambana atoboe awe na Hela,Uwoya wa kishua since day 1 hanaga shida dingi ake alivostaafu alimtunuku naskia karibu mahela mengii sana na wako wawili tu na kaka Ake anajua kwao chenchi kiasi IPO ndo hahangaiki Kabisa
Yes, hilo nalijua na baba ake sio wa mchezomchezo shoga.
Na hata mama yake nae alifanya kazi kwenye mawizara huko, wako vizuri.
 
Back
Top Bottom