Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Unadhani bestie
Wengi washirkina mnoo wanafanyiziana Sanaa,wasanii na ushirikina ni chanda na Pete!!!
Ngoja tufunge midomo
Ila ni kweli
Gig,wolper,shishi Huwa wanasema ukweli kina lokole hawanaga Siri
Walishasema wameshindwa sn Kwa waganga 🤣
 
Sasa mbona kila mmoja amegoma kuupokea huu Wokovu wake? 🥹🥹

Lakini itakuwa sio mara ya kwanza, kuna kipindi alifulia kabisa ilikuwa balaa Aristote akamsema kwa mafumbo ilimuuuuma!

Sijui akaenda kuzisaka wapi huko alivyorudi akarudi palepale kwa Aristote, mjinga sana.
Kwanza alivorudi alimdate big potatoes,akarudi Kwa yule big fish Wa utopolo then akawa Kwa mshikaji mmoja tajiri mnoooo Yuko Kwenye migodi huyo ndo alikua funga kazi unaambiwa mshikaji alikua anatumia Dola tu na manoti vichenji chenji hanaga(niliambiwa lakini na mbea wangu)[emoji3][emoji3][emoji38]
 
Wengi mlichanganywa na story line ya Oprah kwamba walikuwa wanafanana, ila hawafanani.

Huyu Uwoya mzuri zaidi ila akili ndio hana, Wolper yeye mzuri wa sura ila akili zimo na anapambana + kaolewa kabisa.
🤣Akili Hana🙌
 
Wengi mlichanganywa na story line ya Oprah kwamba walikuwa wanafanana, ila hawafanani.

Huyu Uwoya mzuri zaidi ila akili ndio hana, Wolper yeye mzuri wa sura ila akili zimo na anapambana + kaolewa kabisa.
Wolper Kwa za katoka maisha ya kawaida mnoo anapambana atoboe awe na Hela,Uwoya wa kishua since day 1 hanaga shida dingi ake alivostaafu alimtunuku naskia karibu mahela mengii sana na wako wawili tu na kaka Ake anajua kwao chenchi kiasi IPO ndo hahangaiki Kabisa
 
Kwanza alivorudi alimdate big potatoes,akarudi Kwa yule big fish Wa utopolo then akawa Kwa mshikaji mmoja tajiri mnoooo Yuko Kwenye migodi huyo ndo alikua funga kazi unaambiwa mshikaji alikua anatumia Dola tu na manoti vichenji chenji hanaga(niliambiwa lakini na mbea wangu)[emoji3][emoji3][emoji38]
Code ngumu hii shost
cocastic njoo nisaidie 🤣
 
Wolper Kwa za katoka maisha ya kawaida mnoo anapambana atoboe awe na Hela,Uwoya wa kishua since day 1 hanaga shida dingi ake alivostaafu alimtunuku naskia karibu mahela mengii sana na wako wawili tu na kaka Ake anajua kwao chenchi kiasi IPO ndo hahangaiki Kabisa
Kumbe kweli Hana akili....km wema tu nae si alikuwa wa kishua baba balozi, Kiko wapi?
Ss za nyumbani nazo km mzazi Hana vyanzo vinavyoeleweka akifa ndo basi!
Wenzetu wazazi wao wamehakikisha wanawaingiza watt kwenye system ht wakifa Leo fresh.....
Ss huyu mwenzetu 🤔🙄
 
Ila ni kweli
Gig,wolper,shishi Huwa wanasema ukweli kina lokole hawanaga Siri
Walishasema wameshindwa sn Kwa waganga [emoji1787]
Wanaenda sana dear huko majumba ya Ibada ni show off
Nowadays Wana msemo wao wanasema Kuna Mungu na mganga,Kuna msanii kaimba kamsifia mganga wake kabisa ktk nyimbo "kamng'aze"Kuna mmoja Yuko pale mwananyamala Kwa mama Zakaria bondeni kidogo, mwingine Mbagala kichemchem
Dada nimestaafu umbea
Byeeee[emoji1751][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Zamani kabla club ya pale Sqnaa haijavunja aliingia Irene kavaa sketi ndefu na shati mtulivu mwenyewe, anaweza kuokoka kila la heri kwake.
 
Wanaenda sana dear huko majumba ya Ibada ni show off
Nowadays Wana msemo wao wanasema Kuna Mungu na mganga,Kuna msanii kaimba kamsifia mganga wake kabisa ktk nyimbo "kamng'aze"Kuna mmoja Yuko pale mwananyamala Kwa mama Zakaria bondeni kidogo, mwingine Mbagala kichemchem
Dada nimestaafu umbea
Byeeee[emoji1751][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Tobaaa
Haya sawa, yaba mwisho
Acha tuwe watazamaji 🤣🙄
 
Back
Top Bottom