reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Tamaa za wanaume ila huyo mhenga mwenzanguAh ah jamani bado bwana! Mbona anatikisa tu? Bado soko lake liko vizuri [emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tamaa za wanaume ila huyo mhenga mwenzanguAh ah jamani bado bwana! Mbona anatikisa tu? Bado soko lake liko vizuri [emoji12]
Kaaahhh....we dada Wewe...mwee mbona kitambo tena na mshikaji mmoja kadedi kawasambazia mnoo hao wasaniiMhhhhh hii ni mpya mbona? Sijawahi kuisikia shoga!
Kwamba tayari?
Bingwa wa Sodoma na GomorraMwngine yepi..!
Isitoshe ana tatuu je, azitoe kwanza ndipo aokoke au bora liende?
NdioNilishashindwa kuwatofautisha Jackline Wolper na Irene Uyowa (sijuwi Uwoya, not sure)... Yupi ni yupi? Huwa wananichanganya hivi mfanano wao. [emoji41]
Hivi wote ni wachagga?
-Kaveli-
Inaweza kuwa kweli maana umaarufu ameupata akiwa mdogoUwoya ana miaka 35? Bongo bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Unadhani bestie[emoji1787][emoji849]
Ila ni kweliUnadhani bestie
Wengi washirkina mnoo wanafanyiziana Sanaa,wasanii na ushirikina ni chanda na Pete!!!
Ngoja tufunge midomo
Kwanza alivorudi alimdate big potatoes,akarudi Kwa yule big fish Wa utopolo then akawa Kwa mshikaji mmoja tajiri mnoooo Yuko Kwenye migodi huyo ndo alikua funga kazi unaambiwa mshikaji alikua anatumia Dola tu na manoti vichenji chenji hanaga(niliambiwa lakini na mbea wangu)[emoji3][emoji3][emoji38]Sasa mbona kila mmoja amegoma kuupokea huu Wokovu wake? 🥹🥹
Lakini itakuwa sio mara ya kwanza, kuna kipindi alifulia kabisa ilikuwa balaa Aristote akamsema kwa mafumbo ilimuuuuma!
Sijui akaenda kuzisaka wapi huko alivyorudi akarudi palepale kwa Aristote, mjinga sana.
🤣Akili Hana🙌Wengi mlichanganywa na story line ya Oprah kwamba walikuwa wanafanana, ila hawafanani.
Huyu Uwoya mzuri zaidi ila akili ndio hana, Wolper yeye mzuri wa sura ila akili zimo na anapambana + kaolewa kabisa.
Wolper Kwa za katoka maisha ya kawaida mnoo anapambana atoboe awe na Hela,Uwoya wa kishua since day 1 hanaga shida dingi ake alivostaafu alimtunuku naskia karibu mahela mengii sana na wako wawili tu na kaka Ake anajua kwao chenchi kiasi IPO ndo hahangaiki KabisaWengi mlichanganywa na story line ya Oprah kwamba walikuwa wanafanana, ila hawafanani.
Huyu Uwoya mzuri zaidi ila akili ndio hana, Wolper yeye mzuri wa sura ila akili zimo na anapambana + kaolewa kabisa.
Code ngumu hii shostKwanza alivorudi alimdate big potatoes,akarudi Kwa yule big fish Wa utopolo then akawa Kwa mshikaji mmoja tajiri mnoooo Yuko Kwenye migodi huyo ndo alikua funga kazi unaambiwa mshikaji alikua anatumia Dola tu na manoti vichenji chenji hanaga(niliambiwa lakini na mbea wangu)[emoji3][emoji3][emoji38]
Kumbe kweli Hana akili....km wema tu nae si alikuwa wa kishua baba balozi, Kiko wapi?Wolper Kwa za katoka maisha ya kawaida mnoo anapambana atoboe awe na Hela,Uwoya wa kishua since day 1 hanaga shida dingi ake alivostaafu alimtunuku naskia karibu mahela mengii sana na wako wawili tu na kaka Ake anajua kwao chenchi kiasi IPO ndo hahangaiki Kabisa
Wanaenda sana dear huko majumba ya Ibada ni show offIla ni kweli
Gig,wolper,shishi Huwa wanasema ukweli kina lokole hawanaga Siri
Walishasema wameshindwa sn Kwa waganga [emoji1787]
Vipi kwani mkuu,ana mingapi?Uwoya ana miaka 35? Bongo bhana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
TobaaaWanaenda sana dear huko majumba ya Ibada ni show off
Nowadays Wana msemo wao wanasema Kuna Mungu na mganga,Kuna msanii kaimba kamsifia mganga wake kabisa ktk nyimbo "kamng'aze"Kuna mmoja Yuko pale mwananyamala Kwa mama Zakaria bondeni kidogo, mwingine Mbagala kichemchem
Dada nimestaafu umbea
Byeeee[emoji1751][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Kabisaaa kabisaa [emoji38][emoji38]Mtasema sana.
Naendelea kuwakumbusha.
Ngoma is real ma Nigaa[emoji1787]