Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wadau mmegoma? 🤣🤣Huyu bila shaka kachungulia mbele kaona bila shaka things are falling apart. Sasa kuepuka anguko la ghafla kaona a adjust life kwa technique ili akiwa low profile watu wasemee "aah kaokoka yule".
Soko lishakua linaenda ukingoni huyu hamna kingine
Sasa mbona kila mmoja amegoma kuupokea huu Wokovu wake? 🥹🥹Ukute ana tuandaa kisaikolojia kumbe amesha achwa na yule sponsor wake aliyekuwa anawapa pesa watambe na Wakina Aristote…..! Huyu atakuwa amesha achwa sasa anataka kujificha kwa kina mtumishi Donalita! 😂😂😂😂
Time tells
Niffer ushaanzaHao madogo ndio wepiiiii? Akina Lorde Mich?
Mi ninachojiuliza tu, ataacha na yale ‘mengine’? 😜
Asante, sigusi gusi… naandika.Upo juu aisee
Taarifa inajitosheleza. Sikuwa nafahamu yaliyomfika Uwoya lakini sasa naona kumbe alikumbana na balaa zito kabla ya uamuzi wa kumpokea Yesu
Wengi mlichanganywa na story line ya Oprah kwamba walikuwa wanafanana, ila hawafanani.Nilishashindwa kuwatofautisha Jackline Wolper na Irene Uyowa (sijuwi Uwoya, not sure)... Yupi ni yupi? Huwa wananichanganya hivi mfanano wao. 😎
Hivi wote ni wachagga?
-Kaveli-
Ntakuja kwa tahadhari aisee nimejifunzaSiku nyingine uje taratibu Mkuu