Hapo kwenye mambo ya Sangoma wewe ndio mbobezi mwenye PhD yako.Wanafiq hao. Ili ukae bongo movie lazima uende kwa sangoma vinginevyo watakuzima fasta. Bongo movie wanarogana sana kama wanavyo rogana wasanii wa singeli
Mkuu kwanza naomba kuuliza Hivi Uwoya anatumia Shisha au Sigara? Kuna vipimo alifanya hivi karibuni?Sasa mbona kila mmoja amegoma kuupokea huu Wokovu wake? π₯Ήπ₯Ή
Lakini itakuwa sio mara ya kwanza, kuna kipindi alifulia kabisa ilikuwa balaa Aristote akamsema kwa mafumbo ilimuuuuma!
Sijui akaenda kuzisaka wapi huko alivyorudi akarudi palepale kwa Aristote, mjinga sana.
Na ndio maana sipendagi kukaa kule masaa mengi ili kujiepusha na shari ππ€£π€£π€£ Halafu kweli kule huwa tunakwaruzana sana π
Kwa kuwa kuna upande mzuri ni heri.
Hao wawili huwa sielewi wanakosea wapi ,kipindi niko mjengo fulani kitengo ,nilikua naonana nao sana na story kibao ..Irene nilijua anakuja kufanya mabadiliko lkn wapi ..kuna wadada nadhani wao wameletwa tuwaseme tu wakiwa ktk maisha yaoYani hao utadhani walizaliwa pamoja, vichwa maji wote!
Mimi huwa naona huyu alichomfanyia yule mume wake hakitokaa kimuache, anayopitia ni Karma.
Uamuzi wa kuokoka ni sahihi kama atatubu kweli ile dhambi imuondokee.
HahahahaHapo kwenye mambo ya Sangoma wewe ndio mbobezi mwenye PhD yako.
Vipi una mafile ya waliomaliza vilinge huko bongo movie Mkuu? π
Mahaba ya hizi timu zetu 2 usipokuwa makini unaweza kuwa vichaa kama wale wengine wanaofungiwa kila siku kwa kutukanana.Na ndio maana sipendagi kukaa kule masaa mengi ili kujiepusha na shari π
Kabla hajawa nabii mkuu, alikuwaga msanii wa Injili, so anajua na ana mbinu nyingi za kuwaokota wenye mahitaji na kuwahudumia.π€£π€£π€£π€£ Umejua kunichekesha leo.
Kumbe ndio maana akapewa cheo cha Nabii Mkuu? Kama ndio hivyo anastahili π
Usiharibu huu uzi tafadhali πile siku tuliyowafunga goli nyingi zitaki kuzitaja idadi ππ₯±
Tatizo ni kuzoea kuishi kwa mwili, kazi haina matumizi ya akili ndio wamelemaa.Hao wawili huwa sielewi wanakosea wapi ,kipindi niko mjengo fulani kitengo ,nilikua naonana nao sana na story kibao ..Irene nilijua anakuja kufanya mabadiliko lkn wapi ..kuna wadada nadhani wao wameletwa tuwaseme tu wakiwa ktk maisha yao
Hahahahaha,mtaji mwiliTatizo ni kuzoea kuishi kwa mwili, kazi haina matumizi ya akili ndio wamelemaa.
Ubaya hiyo βkaziβ yao ni kama mpira, haina muda mrefu sokoni fasta wadau wanahamia kwingine.
Hakuna kitu huwa ananifurahisha kama ambavyo huwa anajidai kwamba ni surprise yeye mwenyewe hajui kama kuna mtu kajichora tattoo ndio anamuona akipelekwa pale madhabahuni π€£π€£Kabla hajawa nabii mkuu, alikuwaga msanii wa Injili, so anajua na ana mbinu nyingi za kuwaokota wenye mahitaji na kuwahudumia.
Nabii mkuu huzingatia kigezo cha kuwatimizia mahitaji wahitaji.
Hahahaha laiti ningekua naeza andika hii mnaita ubuyu dah..maana nina files hizo hadi nyingine naziogopa , ila huwa sipendi kufuatilia mambo ya watu na siezi and andika popoteHapa ukija kusoma lazima na wewe uache kitu, nipe nikupe ubuyu stlye π
BhaaaaassssHahahahaha,mtaji mwili
Suprise huku camera man akiwa kajipinda kuchukua tukio ππHakuna kitu huwa ananifurahisha kama ambavyo huwa anajidai kwamba ni surprise yeye mwenyewe hajui kama kuna mtu kajichora tattoo ndio anamuona akipelekwa pale madhabahuni π€£π€£
Hapo sijawaongelea wale Masheikh!
Acha ufalaaaaaa! Hizo files ndio zenyewe Mkuu.Hahahaha laiti ningekua naeza and ikawa hii mnaita ubuyu dah..maana nina files hizo hadi nyingine naziogopa , ila huwa sipendi kufuatilia mambo ya watu na siezi and andika popote