Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Inawezekana ila asikimbilie kuwa karogwaBhaaaaassss
Sasa uje kumwambia aingie kwenye hekaheka atawezea wapi?
Mimi naona tofauti hili suala lake la kuugua. Nahisi ulikuwa ni uchovu baada ya kufanya kazi kwa kipindi kirefu ambacho sio kawaida yake.
Mwili ukareact ndio akazidiwa!