Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Kabla ya tattoo walishawakiana tamaa kitambo na kukulana hadi bi mkubwa pastor Anna akatishia uhai wa mtu baadae nabii mkuu akamtuliza bi mkubwa tishio likazimwa πNgoja kwanza, sio kwamba walianza kabla penzi liliponoga ndipo bibie akachota tattoo?
Baadae sasa huyo lady akaja kuibukia madhabahuni na hiyo Suprise ya tattoo π
Kiukweli walishakulana kitambo