Baada ya kunusurika kifo, Irene Uwoya aokoka!

Kifo kikifika kimefika, hata uende kulala kwenye nyumba za ibada,
 
Wanasema huwezi kumtambua kwa kumtazama ama kwa mavazi yake kujua kama ameokoka, ila juzi kinguo alichovaa Mlimani City hakioneshi kuwa ameokoka.

It's like alikuwa anawinda hela za wastaafu [emoji2089][emoji2089]
Irene hawezi kuacha kuvaa nguo fupi maana Ndo maisha yake yule
Afu kuokoka Kwa siku hizi kimchongo tu
 
Nifah,bongo movie na kurogana ni chupa na mfuniko etiii...
Wanaroga mnooo...mengine hatusemi tutafungua mambo ya watu ila sitashangaa km walimpiga chumaa...mwenzao
Masikini Irene ujue aliweka hela nyingi sana?
Na alikuja kwa kasi kweli!

Baada ya kuugua hata sioni akiendelea na chochote kuhusu hiyo filamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…