Baada ya kuona nimepata mirathi kawa mpole sana

Acheni uchoyo wanawake wenzangu.

Akimnyima, hizo hela zitaisha tu, kama sio kwa matumizi mabaya basi kudhulumiwa au kupata hasara.

Japo sijajua ugomvi wao ukwapi, lakini kutoa 2M ni rahisi sana.

Maisha mafupi haya.
Unauhakika wewe ni mwanamke!? Hebu jichungulie, u r so different kwakweli
 
Hamna kitu huyo Kama we Ni mfanyakazi nahujawahi kufanya biashara usijaribu kuifanyianakushauri moja Kati ya haya
1)Tafuta mahali ununue nyumba ndogo ambayo ipo Eneo ambalo Kodi ya pango inaridhisha ununue upangishe
2)Tafuta mahali ununue viwanja kadhaa sehemu ambayo imeanza kujengeka nunua hata vitatu vya mil 5,weka mipaka vizuri hata ya michongoma baada ya miaka mitanno uje uvipige Bei,Bei itakuwa imepanda hata mara tano
3)Badili hizo pesa ziwe katika dola ya marekani zitakuwa Kama dola 7,800/= fungua fixed account katika Moja ya benki kubwa Kila mwaka riba utapata asilimia Kati ya 5 Hadi 10 huku pesa yako bado ipo.
Kwa mwaka riba ikiwa asilimia 10 utapata dola (780 kwa mwaka wa Kwanza)ndani ya miaka mitanno utakuwa na dola 3900+7800+riba ya dola zingune utakuwa na dola 12,000++ na zaidi sio haba itakuwa Ni sawa na umejega nyumba umepangisha


. ......Huyo mtu wako Hana wemaa Ni mnafki kaona pesaa ndo anajisogeza atakupigaa......
 
Ufanye mpango muachane na huyo mwanaume. Vihela vyako visimfanye umnyanyase.

Kama mmefunga ndoa peaneni talaka ule pesa zako kwa amani.
Ungeweza kupitia nyuzi zangu za nyuma ungeelewa nachokimaamisha
 
Kumfanyia mtoto wa watu ukatili wa namna hii ni dhambi kubwa, yaani unamtia umasikini na unamkimbia hakika nakwambia malipo yake utayasikia!
Mungu sio wa kumchukulia poa kiasi hicho!
 
Mambo ya ndoa bana,mnapendana lakini inafikia mahali mnaanza kuviziana kama Chui na Swala,mko ndani huyu anawaza pesa za mwenzake huyu anawaza jinsi ya kumsaliti mwenzake,hapa ndio nagundua kuwa,chanzo kikubwa cha misuguano ndani ya ndoa ni kupishana kwa roho,mwanzoni roho zinakuwa zimeungana,lakini baadaye inapofikia zinaachana ndio tabu inapoanza.Nini kifanyike basi, Maombi na sala ni muhimu hapa,tena kwa kudhamiria...
 
Unauhakika wewe ni mwanamke!? Hebu jichungulie, u r so different kwakweli

Kwahiyo unafikiri wanawake wote tuna tabia zinazofanana?

Ha ha ha

Mi sioni shida akimpa tena sio mkopo....mumewe? Hata kama wamegombana afanye tu just for her peace na kwaajili ya Bwana.
 
Mkuu Serikali hihiii inayoamka na sera tofauti kila siku aisee hapana... Kama Kuna biashara siwezi Kufanya basi ni inayohusisha taasisi za serikali
 
Mkuu Serikali hihiii inayoamka na sera tofauti kila siku aisee hapana... Kama Kuna biashara siwezi Kufanya basi ni inayohusisha taasisi za serikali
Kununua bond za serikali ni kuwa umeikopesha serikali wanakulipa riba.
Kama vipi nunua USA government bonds zipo mpaka za miaka 25
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…