Hako ka kiwanja ka 20 kwa 20 nimekaimajini nimecheka kwakweliWatu wenye hela wanapenda viwanja vikubwa kuanzia 2000sqm hadi 5000sqm na zaidi.
Izi ishirini kwa ishirini ni dalili ya kukosa hela tu.
😂🤣🤣😂🤣Na hilo hekalu lake mbona ameliacha amelamba mchanga??
Angeenda nalo mbinguni.
Kwani itamfaidia nini mtu kuupata ulimwengu na vitu vyake lakini mwishowe akaoshia Jehanam ya moto? Tafuta kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake na mengine mtazidishiwa.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Ndiyo.Ile Bandari Darisalama.
UZi huu bila video ni batiliNiliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu
Nasikia wajanja wanalalamika mbona ratiba ya mazishi ni ndefu,wanachelewa kuanza utafunaji.Bila kujali mali zake alizipataje lakini ameviacha vyote.
Watabaki wanatafuna wale ambao hawakutoa jasho hata siku moja. Na hao ndio wajanja
Na watazipiga sana. Hawajatoa jasho hata tone.Nasikia wajanja wanalalamika mbona ratiba ya mazishi ni ndefu,wanachelewa kuanza utafunaji.
Bright Thinking.....wewe ndio utaavha Legasi ya maana. Na sio Legasi ya matofali na nondo eti ni nyumba.kwa kujua maisha ya dunia si lolote kuna standards nimeziset. basi ndugu wananiona mtu wa ajabu sana. sina mpango wa kuwa na watoto wengi. ninaye 1 ananitosha, nikihataji nitaasili, sina mpango wa maviwanja na ma-nyumba mengi. kwangu kikubwa ni pesa ya kutosha ambayo nitawekeza kwenye hatifungani za serikali ikaniwezesha kuishi maisha middle-class. nikifa pesa zitaenda kwa mwanangu na charities.
Lolote ni lazima kwani wenye Mali hawakufanya lolote?Hivi huwa inakuwaje hadi mnatamani mafanikio ya watu wengine haswa kwenye mali??!! watu wa namna hii huwa nawaogopa sana, nina uhakika wanaweza kufanya lolote kisa mali
Nyumba kama haiko Oysterbay au Masaki haina hadhi ya kutisha hata kama ni kubwa kama white house ya magogoni.Wala hupajui, video tu imekuchanganya.
Kajenga uswahilini kazungukwa na waswahili ila pembeni kuna mshua mmoja tu, ana eneo kubwa.
Kajenga nyumba kwa ndaani kaweka paving blocks.
Sasa ukitaka upate kichaaa kutafuta hela nenda mbweni malindi.
Kuanzia kona ya kuingia mbweni njoo kata kushoto uchungulie kulia kwako au nyoosha kama unaenda jkt kuelekea malindi uchungulie kushoto kwako utalaani kuzaliwa.
Mafuru kajenga uswaaa sana na nasikia eneo alipwa na ba mkwe mzee marehemu SHAO, EX EMPLOYEE TANESCO
Sasa mkuu, Asingekua na hekalu mchanga asingelamba? Umasikini sio tiketi ya kutokufa.Na hilo hekalu lake mbona ameliacha amelamba mchanga??
Angeenda nalo mbinguni.
Uache kutoa charities saizi usubirie baada ya Kufa? Mwenzako ameachia mbwa Urithi wa mabilioni kisa ujinga kama huo.kwa kujua maisha ya dunia si lolote kuna standards nimeziset. basi ndugu wananiona mtu wa ajabu sana. sina mpango wa kuwa na watoto wengi. ninaye 1 ananitosha, nikihataji nitaasili, sina mpango wa maviwanja na ma-nyumba mengi. kwangu kikubwa ni pesa ya kutosha ambayo nitawekeza kwenye hatifungani za serikali ikaniwezesha kuishi maisha middle-class. nikifa pesa zitaenda kwa mwanangu na charities.
Ni mtu Fulani hivi amekulia Serikalini anajichotea tuu mapesa ya watu maskini wanayolipa kodiNi nani huyo jamaa
Hizo pesa zenyewe utaziacha hapa duniani. Mtafute Mungu wakati wote yeye yupo na atakuwepo daima ila maisha Yana mwisho.Niliona video fupi mtandaoni ikionyesha msiba wa hayati Mafuru.
Ile ni nyumba au hekalu? Nyumbani kwa marehemu ndani ya fensi pana lami. Nyumba ipo Kijazi fly over geti la nyumba lipo Stand ya Magufuli!!
Ngoja nitafute sana pesa, sitaki kupoteza muda wakuu