BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Hajui maana na refractive index, hajui properties of the image formed on plane mirror.Yaani kioo kikudanganye lakini picha ikuoneshe uhalisia?
Elimu ya fizikia umeisoma wapi mzee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui maana na refractive index, hajui properties of the image formed on plane mirror.Yaani kioo kikudanganye lakini picha ikuoneshe uhalisia?
Elimu ya fizikia umeisoma wapi mzee?
Refractive index haipo kwenye plane mirror mkuu ipo kwenye concave na convexHajui maana na refractive index, hajui properties of the image formed on plane mirror.
Vioo vina danganya sana. Mimi kuna kioo nikijiangalia sijielewi na kioo kingine najielewa😂Yaani kioo kikudanganye lakini picha ikuoneshe uhalisia?
Elimu ya fizikia umeisoma wapi mzee?
Hajui maana na refractive index, hajui properties of the image formed on plane mirror.
Vioo vina danganya sana. Mimi kuna kioo nikijiangalia sijielewi na kioo kingine najielewa😂
Naona na quality ya kioo inachangia pia. Ukijiangalia kwenye kioo kingine unajishangaa. Halafu wanawake si unajua muda mwingi tunatumia kwenye vioo ku note tofauti ni rahisi 😅😅😂
Labda kama unajitazama kwenye kioo cha mganga au kiwe kioo mbinuko au mbonyeo, lakini kikiwa plane basi unachokiona ndio kinachotakiwa kuonekana kiuhalisia...
Objects in the mirror appear closer than they are-side mirrorsVioo vina danganya sana. Mimi kuna kioo nikijiangalia sijielewi na kioo kingine najielewa😂
Alimaanisha ukumbukwe mileleForever young, I wanna be forever young 🎶
Infact hata aliyeimba hii ngoma ni mzee.
🤣 🤣 🤣sikuamini nachokiona, niliomba picha yangu irudiwe ni vile vile
nikaenda kupiga sehemu nyingine lakini matokeo ni yale yale.
kila siku nikijiangalia kwenye kioo sioni tatizo
Sijakuelewa..!!??Alimaanisha ukumbukwe milele
Ni kweli jana nimepiga passport nikaambiwa express Kuna ya elfu 5000 na elfu 3000.Mkuu kuna baadhi ya wapiga picha huwahujumu wateja kwa kukandamiza lensi sura inatoka imesawajika na kufubaa
Pitia verse za jay z kwenye hiyo ngoma hasa ile inayoishia .. before the director yells cutSijakuelewa..!!??
Pata pesa za kutosha utarudi ujananisikuamini nachokiona, niliomba picha yangu irudiwe ni vile vile
nikaenda kupiga sehemu nyingine lakini matokeo ni yale yale.
kila siku nikijiangalia kwenye kioo sioni tatizo
Verse 1:Pitia verse za jay z kwenye hiyo ngoma hasa ile inayoishia .. before the director yells cut