Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Labda wamedhurumiana pesa tu, kama uhalifu Sugu wakija eale Anti robbary lazima ukalishwe.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
We jamaa huwa unapotea halafu matukio kama haya yanakuibua na kauli zako ni zile zile.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Ndo watake kumteka!?,kazi ya vyombo vya sheria ni zipi!?.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Litakua liuaji 😂We jamaa huwa unapotea halafu matukio kama haya yanakuibua na kauli zako ni zile zile.
Deo naye atowe Dau tumletee warangirangi wa Kaburu waje kumaliza kazi.Hiyo inaitwa unfinish business watu walishalipwa chao mapema
Kwahiyo haikuwa drama, a.k.a kujitekenyeWakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634
Hawajazoea kwenye hilo tayari jamii itajifunza nini cha kufanyaAiseee.... Ukiwa Bonge sometimes kumbe inasaidia sana.... Jamaa mwili wake umempa sapoti sana....
Inasikitisha kwamba alikosa msaada wa majirani na Eneo hilo.... Wale Wamama wangepiga hata ukunga ili kuomba msaada...
Kwani alieleza ni Biashara gani walimuitia wazungumze?Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Ha ha ha
Comrade umeonesha uwezo mdogo sana wa kufikiri. Kwani hao polisi wenu wakiamua kukubambikia kesi, si ni dakika 0 tu!Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Unaongea Kama barmaid mzee.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Hivi unafaidika nini na damu za watuLakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Maana yake hao ni polisi maana Deo aliripoti polisi baada ya tukio. Hapo video ilikuwa haijaletwa mtandaoni. Wenye hoteli watufanyie wepesi tupate picha za cctvWakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634
Kwa kweli....Hawajazoea kwenye hilo tayari jamii itajifunza nini cha kufanya
Nyumbu wewe. Yaani nina muda mrefu Sana nasoma thread bila ku log in. Ila nime log in kwa sababu yako.Lakini kuna kitu huyu Deo kakifanya.
Si bure, either ni muhalifu sugu au kapiga tukio.
ukweli utajulikanq
Wakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634
Inasikitisha Sana kupita kiasi.Wakuu,
Naona hii kesi ya mfanyabiashara aliyekuwa almanusura atekwe na "watu wasiojulikana" (Deo Bonge) huko Kiluvya imeanza kuchukua sura mpya.
Akiwa na vyombo vya habari hivi karibuni mmiliki wa hoteli ambayo Deo alikuwa anajaribu kutekwa amesema kuwa watekaji hao walirudi tena usiku kwa ajili ya kumtafuta bwana Deo .
Mmiliki wa hoteli hiyo aliongeza kwa kusema kuwa hata hivyo camera za CCTV ziliwanasa wakiwa wanaingia.
View attachment 3151634