Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Mjomba wako wa nchi gani? Wewe ni Mkenya wa mchongo?

Kenya inaingilia wapi kwenye mada husika, tatizo mpo bado kwenye utumwa wa ukoloni hadi kila kitu mnawaza kwa misingi ya mipaka ya mkoloni.
Fahamu hamna kitu kinaitwa Tanzania au Kenya, vyote hivi vilibuniwa na mkoloni kisha akaondoka na kuacha maagizo mbaki ndani ya hiyo mipaka aliyoacha.
 
Huwezi jua siri ya familia. Siwezi kuliongelea upande wa mwanamke kwa sababi ni mtu mzima mwenye akili timamu.Nataka kuliongelea upande wa baba. Wababa wengi wanachojua ni kutoa matumizi lkn suala la malezi kuwaachia wakina mama..

Baba hajui mtoto anapenda nini,,,hajua mtoto anachangamoto gani. Maisha yote mtoto anamuona mama yake baba kuamka asubuhi kwenda kazini akirudi kula kulala. Hajengi bond na mtoto ndo haya madhara mtoto akikua wala hashtuki kuwa baba anahitaji upendo. Ukitaka kuamini angalia familia ambazo baba kawekeza upendo kwa watoto,,,mtoto mwenyewe atamtafuta baba hata kama mama atamlisha sumu kiasi gani.

Wazazi licha ya changamoto na kutofautiana tuhakikishe upendo na kujitoa kwa watoto kunabaki pale pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kujisumbua tu ndugu. Unadhani watoto watayajali hayo?
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Kama ni kweli basi watoto na mke watayalipa hapa hapa duniani.
😢😢😢😢😢
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Changanya mbegu za watoto,kuzaa na mwanamke mmoja eti kisa wazungu wameandika hivyo kwenye riwaya ziitwazo biblia matokeo yake ndiyo hayo.
 
Nyumba alimilikisha watoto ambao ndo hao wamemtelekeza kwa hiyo kwa sasa hana uwezo wa kufuatilia tena amekua na tatizo la ugonjwa wa akili na hili limetokea miezi michache baada ya kustaafu ndo mke nae akaanza hapo hapo ukatili dhidi ya mume wake kwa kushirikiana na hao watoto wake. Na pia mzee alikuwa na watoto wengi
Hela ya kustaafu IPO WAPI
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
ukikutana na hao watoto waambie mae ya ya huyo mama yao.

Tukirudi kwenye hiyi ndoa, hufikia kipindia wanandoa kumuona mwingine kama just the other scam or just the other guy. Kuna gap huyo mzee alitengeneza kipindi ana fight kutafuta uwezo wa kuweza kuipatia familia yake access to better education, health na liivelihood. Bahati mbaya kwake, hakuwa na aina ya mke wa kuweza kui bridge hiyo gap, bali alikuwa na aina ya mke ambaye alitishwa na struggles za mume wake, akanyong'onyezwa na success zake hivyo mke huyo kutafuta faraja katika kuongeza gap kwa kumchinganisha baba na watotobwake...amefanikiwa
Deep down, mzee alikua na high expectations kwamba, kupitia strugles hizo, familia yake ita prevail (big mistake, kwa kuwa huwa hatushei kile tunakiamini au why are we doing).
Kwa jinsi ul8vyoiongelea mental status ya huyo mzee, si sahihi kuongea naye chochote kile kwa sadaa, inasikitisha to be true, ila wa kuongea naye ni mama na watoto wake. Huo ndiyo ushauri wangu mimi mlevi wenu wakati huu nikijiandaa kulala.
 
Jamani mimi niwape ushuhuda kidogo,si kwamba naunga mkono watu wasioe,hapana
bali ukioa usijisahau.Kama unafanya kazi,jitahidi weka akiba na kuiheshimu pensheni,
Nimejifunza kwangu mimi mwenyewe,hivyo sishangai kwa yaliyompata huyo mzee.

Mimi kufuatana na shughuli zangu kuwa mbali,nilikuwa nikipata kipato
namkabidhi mke wangu pesa ya matumizi ili kutunza familia,hata karo za watoto naendelea na mishe ya kusaka pesa. Nilifikia hatua ya kuacha na kadi ya benki ili kuondoa usumbufu,
Akilini nikijua mambo yote yako poa.Kumbe haikuwa hivyo
Nadhani kuna shetani alipitia. Karo zikawa halipwi ila muda ukifika anakopa anawapa watoto wanaenda shule.
Tena mikopo ya liba hivyo inaendelea kuzaa deni linaongezeka mimi sina habari.

Baada ya madeni kuwa makubwa,mtu mmoja rafiki yangu ambaye alisikia habari hizo
akanifuata,na kunishauri kuwa pamoja na mishe zangu za kusafiri nijitahidi kumsaidia
mke wangu kulipa ada za watoto anapata sana shida kutafuta pesa.
Niliposikia hivyo nilistuka nadhani naye alijua.lkn nikamwambia sawa nitajitahidi,maana niliona nikionyesha kukerwa
naye atashangaa sana kwa jinsi alivyotujua tunavyoishi na mke wangu.

Nilipoenda kumwuliza akakana,akasema humna kitu kama hicho.hivyo nikaanza utafiti binafsi
Niliyoyakuta ilikuwa story ndefu.Namshukuru Mungu tulifanikiwa kuyamaliza,na nilifanikiwa kulipa hayo madeni,
kuanzia hapo nikaanza kulipa karo kwa mkono wangu mwenyewe
na kufuata ushauri wa mchungaji mgogo kwamba unapotoa matumizi,hakikisha unatoa sebureni siyo chumbani
ili watoto waone jitihada zako za uwajibikaji.

Baada ya kubadilisha mfumo wa maisha tunaendelea vizuri na maisha.
Hivyo vijana msiogope kuoa,kama unamcha Mungu hakuna ubaya utakaofanyika chini ya kapeti usijue.

Tunaolaumu kwamba wanaume hawawajibiki japo sikatai lakini tujitafakari.Hata kama hawawajibiki ni kwa nini tunasubiri wazeeke ndo tuwanyanyase? kwanini msiwakimbie mapema mkaolewe au mkaanzishe maisha nje ya hao wanaowanyanuyasa?

Mi nadhani vijana chukueni ushauri huu,wazazi wako ni wazazi wako.Asiwepo hata mmoja wa kukuambia ubaya wa mwenzake maana walipokutana hukuwepo na wewe
usijifanye bingwa wa kulipa kisasi itakughalimu.Baba asingempa mimba mama yako,usingezaliwa.
Na baba bila mama mimba yako isingetungwa na usingekuja duniani.
Hata kama hukutunzwa. Watunze wazazi wako kwa kadri ya uwezo ulio nao
maana wamekuleta duniani.
Na Mungu atakubariki.
 
Kwani anashundwa Nini kuanza kutafuna hayo majumba aliyojenga?

Kwa mtazami wangu huyo Mzee kastaaafu Hana kitu na pension kahonga. Full stop
Hawatamruhusu. Wataweka kipingamizi kuwa hana utimamu wa akili kutokana na umri wake na maradhi alionayo ambayo mleta mada ametueleza
 
sijui kama nitakuja kuoa aisee....

sioni faida ya ndoa kwasababu kuna umri ukifika watoto wataanza kukudharau na mkeo atakuombea ufe au hatakujaribu kukuua kabisa.

kuoa ni kitendo cha kujitaftia matatio uzeeni.
 
sio tu Kama mnavyojifariji, akifanyiwa ubaya furani mnazani wote, Tena KATAA NDOA hiwe endelevuu milele.
 
Huyo mzee itakuwa hela za pension kala mwenyewe hajampa bi mkubwa kosa linaanzia hapo
 
Back
Top Bottom