Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

All women are devils only your mother might be good to you, But she is still a devil to your father.

Mzee mmoja aliniambia kijana hata "Mama" awe mbaya na muovu kiasi gani na Baba awe mzuri kiasi gani, Siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumtetea maovu yake.

As a Man, lazima uwe na "back up plan" ya ku survive individually wakati wowote ule.
WORD
 
Kufa kupo tu.

Ukifa umekufa, Na hutajua chochote kile kinacho endelea.

Kwanza Haupo tena,hizo hela hata zikipotelea huko hujui.

Kwani wangapi wanakufa na Hela zao wana enjoy wengine?

Cha msingi hapa ni kwamba mwanaume jitengee fungu lako
binafsi la emergency.

Watoto siku zote wapo upande wa Mama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] dah umechafukwa na roho Mkuu hautaki utani kabisa wakuja kunyanyasika uzeeni inaonekana.
 
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao.
Hii ni option ya mwisho ya kila Mwanaume ambae hataki kufanya maafa kwa Mwanamke anaemchukiza na kumtia machungu maana akikaa nae kifuatacho ni ama zako ama zangu, utalishwa sumu ya kukuua kidogo kidogo hata ukienda hospital ugonjwa hauonekani Ila ndani sumu inakuua siku baada ya siku
 
Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
😆😆😆😆
 
Atatafuna vipi Sheria zinaelekeza mtu kuuza Mali lazima mke watoto na baba waridhie.
Kwani anashundwa Nini kuanza kutafuna hayo majumba aliyojenga?

Kwa mtazami wangu huyo Mzee kastaaafu Hana kitu na pension kahonga. Full sto
 
Kwenye hii simulizi kuna palipotajwa shoga au msagaji au umeweka tangazo la biashara KIDOGO commercial break?
Sentensi ya mwisho kwenye bandiko ni saini ya mashoga na wasagaji wa hapa JF.

Vipi, mbona umekuja juu, wewe papai?
 
Wanaume tunapendewa kazi,pesa na nguvu tulizonazo wala sio kingine ;ukikosa hayo thamani huna kabisa kwa mkeo!!!

Kuhusu WATOTO hao sio ndugu zetu kama tunavoaminishwa bali ni kopi ya heshima kwenye jamii!hao ni ndugu kwa mkeo ndio MAANA husema "hakuna kama mama"
Imepenya kwakweli
 
Kinachonishangaza humu wanaume wanalalamika kuwa uzeeni wanatengwa na mke pamoja na watoto.
Swali, je na ninyi wanaume wa humu mmewatenga baba zenu na ku slide upande wa mama?
 
Hao wazee wakistaafu pension yote wanatumbua na malaya wanatelekeza familia zao.

Hela zikiisha wanatiatia huruma.
 
All women are devils only your mother might be good to you, But she is still a devil to your father.

Mzee mmoja aliniambia kijana hata "Mama" awe mbaya na muovu kiasi gani na Baba awe mzuri kiasi gani, Siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumtetea maovu yake.

As a Man, lazima uwe na "back up plan" ya ku survive individually wakati wowote ule.
Hahaaaaa, hiyo ndio mission yangu. Sasa nina miaka 40 nina nguvu ya kufanya kazi na kuhangaikia familia ila kila siku nawaza kuna siku nitaishiqa nguvu, je hawa watanisaidia au nitajisaidiaje? Nimeshaandaa akili yangu kuishi kipweke huko uzeeni japo nitavuta mtoto mbichi wa kunisofezea uzee wangu. Sasa natafuta pesa na kufanya kazi kwa nguvu kwani najua uzee upo na mateso ya uzeeni yapo. Sawa mke wangu hana shida ila ni binadamu, najiandaa kwa lolote lile.
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Shauri hili haliwezi kukamilika bila kisikiliza upande wa pili kinyume chake itakuwa umbea!
 
Back
Top Bottom