Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Nyumba alimilikisha watoto ambao ndo hao wamemtelekeza kwa hiyo kwa sasa hana uwezo wa kufuatilia tena amekua na tatizo la ugonjwa wa akili na hili limetokea miezi michache baada ya kustaafu ndo mke nae akaanza hapo hapo ukatili dhidi ya mume wake kwa kushirikiana na hao watoto wake. Na pia mzee alikuwa na watoto wengi
Mzee aende ustawi wajamii akamsemee mkewe. Wanaume huwa hatusemi maovu ya wanawake ila wao huwa wanatuchafua sana ndio maana sisi tunaonekana wabaya wao malaika.

Na sisi miaka hii tumeamka kitofauti sana tunawaanika maovu yao vizuri tu hadharani. Lazima jamii ijue wanawake wamewekeza zaidi katika maisha yao binafsi kuliko ustawi wa mwanaume wake na familia kwa ujumla.
 
[emoji28][emoji28]jipambanie watoto sio mtaji , wasukuma wajanja sana mtu anakaribia kustaafu labda ana miaka 55 basi anazaa tena watoto hawa atakaa nao mpaka anakufa.


Ukizaa mapema jiandae ukifika miaka ya kustaafu washapata maisha yao wanaondoka.
Hii mbinu nzuri sana. Mnakuwa mnategemeana na madogo na mwanamke hawezi leta kelele tena. Ndio maana huwa wanatulazimisha kuzaa nao mapema hawa watu ili muda tunachoka watoto wawe wamekua na wanajitegemea.
 
Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
Huyo nazichukua na hatanifanya lolote. Na nitamwambia kabisa, akiwasha moto namwambia anilipe kila senti niliyowahi toa kwake na mimi nimlipe zake tumalizane.
 
Unaongelea mambo ya ndani usiyoyajua
Wanaume kuna umri mkiwa na nguvu huwa mna entertain michepuko na marafiki , mkishaishiwa nguvu mnajitilisha huruma kwa wake zenu.
Kanuni ni moja mwanamke anasamehe ila huwa hasahau kamwe.
Hata nakataa, hizo theory zenu za uchwara kuwa mwanaume is guilty until proven innocent na mwanamke ni innocent until proven guilty ni double standard kinyama. Nakwambia angekuwa mwanamke kafanyiwa hivyo usingeanza hivyo ungeanza na kumuonea huruma mwanamke ingawa wengi wanakimbia familia zao katikati na kurudi baadae kwakigezo cha ndoa au watoto. Nanajua hiyo trend huijui maana inawatia doa wanawake. Tuishi kwenye logical reasoning humuhumu hizo assumptions na logical fallacy zenu mnazopenda kuzitaja ili kujitetea nimeamini mwanamke hata alale na shetani wanawake wenzake watamtetea maana accountability for their actions is zero. Nahuamini kuwa jamii lazima imuonee huruma. Sisi kazi yetu ni kucheki tu, ila changes are coming slowly.
 
Mawazo ya kijana masikini. Juzi tumemzika jamaa alikuwa na akili kama zako. Hakuwa na familia, alikufa n hkuna aliyejua hdi pale harufu ilipoanza kutoka ndani. Mazishi huwa saa 8 hadi 10 jioni kwa kawaida, ila jamaa amezikwa saa 5 kasoro. Bajeti ya msiba huwa kuanzia milioni 2 na kuendelea, ia jamaa bajeti ya msiba ilikuwa th 200,000 n watu waklewa. Amezikwa kama vile hkuwahi kuw na ndugu. Inasikitisha
basi kama na mawazo ya kimasikini basi we utakuwa na mawazo yenye harufu ya matako matako , nauliza umesoma post ya mdau ukaielewa? usikurupike tu na stres zako za kulala njaa.kwa akili yako mke wako ni ndugu yako? .una uelewa mdogo sana
 
Hii thread imenigusa sana. Kuna siku maza alinikalisha chini nakuanza kuniambia namna mshua alivyokua anazingua. Namna alivyokua mtu wa starehe sana kipindi cha ujana wake (hapo kabla sijazaliwa, maana nimezaliwa mdingi ameshavuka 40s huko).

Alifika mbali na kuniambia ninapopata chochote nisiwe namzingatia sana. Maana japokua baba ni mzee anaendekeza matumizi ya hovyo hasa kutuma tuma ela kwa ndugu zake.

Dah! Nilikaa chini nikaanza kufikiria. Yani nisimzingatie baba wakati alijinyima sana hata hakujenga nyumba nzuri kwa ajili ya kupambania elimu zetu watoto wake. Alipambana tukasoma shule nzuri na alikua mstari wa mbele kutukalipia pale tulipokua tunazingua kimasomo (mara nyingi kauli zake zilikua zinalenga tujipambanie tutoke kielimu ndio urithi pekee).

Mzee alijinyima sana hata hakua anapendeza na kuvaa nguo za fashion wakati ule anatusomesha. Nyakati za kulipa ada tulikua tunaona kabisa anavyochanganyikiwa kuhakikisha kila kitu kinakaa sa
 
mwanamke sio ndugu,tunakufa mapema kwasababu maadui zetu tunawanunua kwa pesa zetu wenyewe,tunawafuga mpaka uzee wao wote,baada ya watoto kukua wanatugeuka wanaungana na watoto wao kututoa kwenye ramani.ndoivo
 
Hii Mimi nilikuwa tofauti
Ndio maana mzee wangu alinielewa
Mama akawa ananiona kama kijipu uchungu.
Ila wako very trick usipokuwa na misingi
Utamuacha mzee wako
Kabisa mkuu.

Yaani wa mama wanatetewa sana hata kwenye mabaya yao.
 
Hii mbinu nzuri sana. Mnakuwa mnategemeana na madogo na mwanamke hawezi leta kelele tena. Ndio maana huwa wanatulazimisha kuzaa nao mapema hawa watu ili muda tunachoka watoto wawe wamekua na wanajitegemea.
Ukizaa mapema jiandae hakikisha ukifika miaka 45 mpaka 50 uzae mtoto wa mwisho.
 
Hila hela za kustafu sijui zina shida gani unakuta mtu anajielewa ana akili timamu kabla hajapata zile hila wakishastaf ile hela ikiingia kwenye account anaona kuna million 100 hapo akili inabadilika hela ikiisha akili zinarudi na hata sisi tunaoandika hapa tunawaponda wazee wetu lakini mwisho wa siku na sisi ni hvyo hvyo
Zime ua wazee wengi hizo pesa
 
Hii thread imenigusa sana. Kuna siku maza alinikalisha chini nakuanza kuniambia namna mshua alivyokua anazingua. Namna alivyokua mtu wa starehe sana kipindi cha ujana wake (hapo kabla sijazaliwa, maana nimezaliwa mdingi ameshavuka 40s huko).

Alifika mbali na kuniambia ninapopata chochote nisiwe namzingatia sana. Maana japokua baba ni mzee anaendekeza matumizi ya hovyo hasa kutuma tuma ela kwa ndugu zake.

Dah! Nilikaa chini nikaanza kufikiria. Yani nisimzingatie baba wakati alijinyima sana hata hakujenga nyumba nzuri kwa ajili ya kupambania elimu zetu watoto wake. Alipambana tukasoma shule nzuri na alikua mstari wa mbele kutukalipia pale tulipokua tunazingua kimasomo (mara nyingi kauli zake zilikua zinalenga tujipambanie tutoke kielimu ndio urithi pekee).

Mzee alijinyima sana hata hakua anapendeza na kuvaa nguo za fashion wakati ule anatusomesha. Nyakati za kulipa ada tulikua tunaona kabisa anavyochanganyikiwa kuhakikisha kila kitu kinakaa sawa tunaenda shule. Na sasa umri umeenda sana, ameshastaafu, kutwa kulalamika maumivu ya kiuno, mgongo na macho kwa kazi ngumu alizokua anafanya wakati ule.

Eti ndio nimfungie vioo kisa mama kasema alikua anazingua ujanani! Hapana kwa kweli! Chochote nachokua nacho hua nahakikisha wananufaika wote bila kuwabagua. Hua najitahidi kua mfariji wa mzee wangu na anapokutwa na changamoto hua naitatua haraka sana.

Bado sijajua kwanini kina mama wengi wanakuaga wabinafsi sana na kupenda kuwalisha sumu watoto wawachukie baba zao. Inafikirisha sana.
Mkuu,

All women are devils only your mother might be good to you, But she is still a devil to your father.

Wanawake wanataka waonekane wema hata kwenye ubaya.
 
Hiyo siyo kataa ndoa tu, tusizae kabisa, sababu huyo mzee shahawa zake mwenyewe zimemdhuru... Watoto wamemtenda dingi, watoto tunawapata kwenye ndoa ama bila ya ndoa.

iwe ni kampeni ya
KATAA KUKOJOLEA NDANI.
 
Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
Amekosea sana
 
Tatizo ni mama yao!! Je unajua mama yao huwa anawaambia nini watoto? Mwombe Mungu yasikukute!! Wanawake wengine ni balaa!!
Acha uongo,kwani watoto walikuwa hawaoni jinsi baba yao anavyowajibika juu Yao?watoto wanaona baba ananunua chakula,analipa ada wakiumwa anatoa hela ya tiba nk hapo mama atawadanganya nini eti baba yenu alikuwa mbaya?huyo baba kuna sehemu alizingua
 
Inasikitisha sana na ukizingatia mzee mwenyewe ndo umemuweka kwenye profile picture yako
 
Back
Top Bottom