Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Chain inaendelea malipizi ni hapa hapa dunianUsikute na yeye alimfanyia babu Yao hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chain inaendelea malipizi ni hapa hapa dunianUsikute na yeye alimfanyia babu Yao hivyo
Kugonga hakijawahi kuwa shida Bali wa kukuuguza.wanawake ni sumu kubwa katika maisha ya mwanaume,wanawalisha sumu watoto ingali wadogo, mzee aliyumba sasa ivi ukiwa na mkwanja mrefu .una jenga nyumba za kupangisha kama 50 baada ya hapo unatafuta mwanamke mwenye akili wa kuzaa naye ila sio wa kuoa full stop .hizo nyumba 50 zitakusaidia mpaka unaenda chini ,kwa kuwa mawe yatakuwepo utakuwa unagonga videmu kama kawa .watoto utawapa haki zao kila kitu.kuoa ni ufara afu ni uoga wa maisha kwanini upate ukichaa wa kujitakia? kataa ndoa ila zalisha masingo maza wawe wengi ili tupate utelezi wa bure
Umehitimisha kama Lucas mwashambwaKATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Wakina mama Sio wahangaSingles huwa tuko very alone ila sometimes tunapona mengi
...Palikalika ?? [emoji848]...Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
Huwezi jua siri ya familia. Siwezi kuliongelea upande wa mwanamke kwa sababi ni mtu mzima mwenye akili timamu.Nataka kuliongelea upande wa baba. Wababa wengi wanachojua ni kutoa matumizi lkn suala la malezi kuwaachia wakina mama..Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.
Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini
Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.
Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.
Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.
Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.
Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)
Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)
Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao
Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?
Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.
KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Alishasema Mtibeli oeni wanawake wanawapenda hutakutana na hii changamoto hta km wtt watakuchukia basi mkeo atasimama na wewe ila ukifosi koua sababu ya ukwasi hta uzae nae watt 10+ km hakuwa na upendo na wewe lazima utapitia hii hali Robert Heriel MtibeliNashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.
Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini
Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.
Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.
Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.
Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.
Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)
Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)
Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao
Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?
Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.
KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Sishangai Kwa make. Tatizo ni watoto. Elimu haijawakomboa. Laana itawatafuna.Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.
Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini
Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.
Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.
Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.
Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.
Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)
Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)
Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao
Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?
Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.
KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Alishasema Mtibeli oeni wanawake wanawapenda hutakutana na hii changamoto hta km wtt watakuchukia basi mkeo atasimama na wewe ila ukifosi koua sababu ya ukwasi hta uzae nae watt 10+ km hakuwa na upendo na wewe lazima utapitia hii hali Robert Heriel Mtibeli
Maisha ni fumbo unaweza fichaficha hivyo ukafa ukaachia watu bakiMkuu,
Kama mwanaume unatakiwa kuwa na Akaunti yako ya Siri ya benki ambayo unaweka fedha za emergency kwa maisha yako wewe mwenyewe tu.
Hii inakuwa ni special for you.
Hata wife, watoto, wazazi wako wasifahamu.
Yani kiasi kwamba hata ikatokea mka achana, kwenye mgao wa mali Akaunti yako hii isifamike na yeyote yule.
Maana siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumsapoti.
Mwanaume lazima uwe na fungu lako la kujisapoti mwenyewe wakati wowote ule wa dharura.
Ukiona isolate incident kama hii unadhani kila familia iko hivi? Kuna wastaafu wengi tu wanaishi vizuri na wake na watoto wao.Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.
Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini
Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.
Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.
Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.
Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.
Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)
Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)
Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao
Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?
Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.
KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Mama yako aliolewa au alikuwa mwakitombile & mwakifiroNashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.
Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini
Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.
Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.
Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.
Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.
Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)
Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)
Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao
Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?
Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.
KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Sasa utaamua.Maisha ni fumbo unaweza fichaficha hivyo ukafa ukaachia watu baki
Mkuu mbona Kuna matajiri wanadumu na wake zao hili unalizungumziajeUnaogopa kwani Kwa wazazi wako huoni kinachoendelea kati ya Baba na Mama? Na Kwa taarifa Yako tuu walau familia maskini Huwa zinaishi vizuri Hadi mwisho kuliko Zenye Mali.
Iko hivi mwanamke Yuko radhi mwanaume asiwe na Mali akiamini ndio atapendwa yaani awe na hela ndogo za jasho zaidi.
Akipata pesa nyingi anaamini mwanaume atakuwa anahonga wanawake wengine hivyo yeye Yuko kwenye threat na
Mwisho kwake Kuna ma 2 Bora mkose wote au akumalize abakie na Mali na Watoto wake.
Kinyume na hapo ni Neema tuu kulingana na Moyo wake but wao ni wepesi wa kubadilika Kwa influence ya jamii(wenzie).
Sasa Mkuu unajitengea Alfu mwishoe anaenda kuomba talaka kile ulichonachwa kinakwapuliwa chote hapo itakuaje 😢Kufa kupo tu.
Ukifa umekufa, Na hutajua chochote kile kinacho endelea.
Kwanza Haupo tena,hizo hela hata zikipotelea huko hujui.
Kwani wangapi wanakufa na Hela zao wana enjoy wengine?
Cha msingi hapa ni kwamba mwanaume jitengee fungu lako
binafsi la emergency.
Watoto siku zote wapo upande wa Mama.