Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

wanawake ni sumu kubwa katika maisha ya mwanaume,wanawalisha sumu watoto ingali wadogo, mzee aliyumba sasa ivi ukiwa na mkwanja mrefu .una jenga nyumba za kupangisha kama 50 baada ya hapo unatafuta mwanamke mwenye akili wa kuzaa naye ila sio wa kuoa full stop .hizo nyumba 50 zitakusaidia mpaka unaenda chini ,kwa kuwa mawe yatakuwepo utakuwa unagonga videmu kama kawa .watoto utawapa haki zao kila kitu.kuoa ni ufara afu ni uoga wa maisha kwanini upate ukichaa wa kujitakia? kataa ndoa ila zalisha masingo maza wawe wengi ili tupate utelezi wa bure
Kugonga hakijawahi kuwa shida Bali wa kukuuguza.

Kuna mzee alikuwa amemuamini mtu Baki kuliko mtu wa ndani kumwambie akamtolee hela amlipe anaemuangalia baada ya Mke na Watoto kumkimbia na huyo Mzee alikuwa mstaafu.

Bahati nzuri Jamaa alikuwa mwaminifu Hadi Mzee anakufa.

Ndio maana nikasema hivi kama una ndugu jitahidi kuwa na mawasiliano nao ya mara Kwa mara maana Kuna siku utakuwa na pesa ndio ila wa kukisfisha anaweza asiwepo au asipatikane Kwa mda muafaka hata wa kumlipa.

But all in all pesa ni security, wanawake Kwa ubinafsi ndio maana unaona wanaojipendekeza Kwa Watoto Ili uzee wao wake kuhudumia na hao Watoto.
 
Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
...Palikalika ?? [emoji848]...
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Huwezi jua siri ya familia. Siwezi kuliongelea upande wa mwanamke kwa sababi ni mtu mzima mwenye akili timamu.Nataka kuliongelea upande wa baba. Wababa wengi wanachojua ni kutoa matumizi lkn suala la malezi kuwaachia wakina mama..

Baba hajui mtoto anapenda nini,,,hajua mtoto anachangamoto gani. Maisha yote mtoto anamuona mama yake baba kuamka asubuhi kwenda kazini akirudi kula kulala. Hajengi bond na mtoto ndo haya madhara mtoto akikua wala hashtuki kuwa baba anahitaji upendo. Ukitaka kuamini angalia familia ambazo baba kawekeza upendo kwa watoto,,,mtoto mwenyewe atamtafuta baba hata kama mama atamlisha sumu kiasi gani.

Wazazi licha ya changamoto na kutofautiana tuhakikishe upendo na kujitoa kwa watoto kunabaki pale pale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Alishasema Mtibeli oeni wanawake wanawapenda hutakutana na hii changamoto hta km wtt watakuchukia basi mkeo atasimama na wewe ila ukifosi koua sababu ya ukwasi hta uzae nae watt 10+ km hakuwa na upendo na wewe lazima utapitia hii hali Robert Heriel Mtibeli
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Sishangai Kwa make. Tatizo ni watoto. Elimu haijawakomboa. Laana itawatafuna.
 
Mkuu,

Kama mwanaume unatakiwa kuwa na Akaunti yako ya Siri ya benki ambayo unaweka fedha za emergency kwa maisha yako wewe mwenyewe tu.

Hii inakuwa ni special for you.

Hata wife, watoto, wazazi wako wasifahamu.

Yani kiasi kwamba hata ikatokea mka achana, kwenye mgao wa mali Akaunti yako hii isifamike na yeyote yule.

Maana siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumsapoti.

Mwanaume lazima uwe na fungu lako la kujisapoti mwenyewe wakati wowote ule wa dharura.
Maisha ni fumbo unaweza fichaficha hivyo ukafa ukaachia watu baki
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Ukiona isolate incident kama hii unadhani kila familia iko hivi? Kuna wastaafu wengi tu wanaishi vizuri na wake na watoto wao.
 
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Mama yako aliolewa au alikuwa mwakitombile & mwakifiro
 
Maisha ni fumbo unaweza fichaficha hivyo ukafa ukaachia watu baki
Sasa utaamua.

Ujiwekee akiba binafsi.

Au, u expose kila kitu kwa ndugu wajue hadi namba za siri za benki.

Kisha mkisha filisiwa mje hapa JF kulia lia tena na kuomba msaada wa mawazo.
 
Unaogopa kwani Kwa wazazi wako huoni kinachoendelea kati ya Baba na Mama? Na Kwa taarifa Yako tuu walau familia maskini Huwa zinaishi vizuri Hadi mwisho kuliko Zenye Mali.

Iko hivi mwanamke Yuko radhi mwanaume asiwe na Mali akiamini ndio atapendwa yaani awe na hela ndogo za jasho zaidi.

Akipata pesa nyingi anaamini mwanaume atakuwa anahonga wanawake wengine hivyo yeye Yuko kwenye threat na

Mwisho kwake Kuna ma 2 Bora mkose wote au akumalize abakie na Mali na Watoto wake.

Kinyume na hapo ni Neema tuu kulingana na Moyo wake but wao ni wepesi wa kubadilika Kwa influence ya jamii(wenzie).
Mkuu mbona Kuna matajiri wanadumu na wake zao hili unalizungumziaje
Kigum haya mambo uwe na Neema tu basi
 
Kufa kupo tu.

Ukifa umekufa, Na hutajua chochote kile kinacho endelea.

Kwanza Haupo tena,hizo hela hata zikipotelea huko hujui.

Kwani wangapi wanakufa na Hela zao wana enjoy wengine?

Cha msingi hapa ni kwamba mwanaume jitengee fungu lako
binafsi la emergency.

Watoto siku zote wapo upande wa Mama.
Sasa Mkuu unajitengea Alfu mwishoe anaenda kuomba talaka kile ulichonachwa kinakwapuliwa chote hapo itakuaje 😢
 
Back
Top Bottom