Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Baada ya kustaafu katelekezwa na mke na watoto wake. Anaugua ugonjwa wa akili kwa sasa

Kuna mambo hayapo wazi kwenye hii story.
Ni lazima mzee kuna kitu alizingua,. Tuseme hajazingua kitu mtu una pesa na mali urukwe na akili kisa mke? Si umtimue watoto wake wamfate huko?

NIni hasa kinampa stress?

Hakuna mtoto ambae alikupenda tangu utoto wake aje kukubadilikia ukubwani bila sababu.

Kuna mambo ya ndani kabisa ambayo hayapo wazi hapa.
Nilikuwa nawaza pia kwa sauti; naamini kuna kitu hakipo sawa. Sio rahisi watoto uliowalea kwa upendo mkubwa maisha yao yote; ghafla leo wakugeuke kwa kuambiwa tu maneno na mama yao. Ninaamini kuna kitu hakipo sawa
 
Ndoa haina tatiz
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELNdoa
Ndoa haina tatizo, tatizo ni la mke!!
Ila wanaume tuna kazi! Watoto kwa asilimia kubwa huwa wanaelekea kwa mama!! Ni afadhali aamue kuuza baadhi ya malii zake kama nyumba ili zimhudumie, abaki na nyumba moja atakayoishi yeye!!
 
Hapo Mimi kama Mimi siwezi hukumu mama na watoto pasipo kujua behind the scene, Mwaka Jana niliyumba kiuchumi chanzo ni mzee wangu, yote yamepita na nimeshasamehe.
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.

Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini

Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.

Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.

Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.

Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.

Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)

Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)

Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.

Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao

Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?

Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.

KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nawaza pia kwa sauti; naamini kuna kitu hakipo sawa. Sio rahisi watoto uliowalea kwa upendo mkubwa maisha yao yote; ghafla leo wakugeuke kwa kuambiwa tu maneno na mama yao. Ninaamini kuna kitu hakipo sawa
Tatizo ni mama yao!! Je unajua mama yao huwa anawaambia nini watoto? Mwombe Mungu yasikukute!! Wanawake wengine ni balaa!!
 
Aisee hii experience sawasawa na ya mzee mmoja. Alirithisha watoto kila kitu
Mbaya zaidi alikua kwenye international orgs kwa maana hapati pension. Mke na watoto wamemcharaza bakora kisawasawa za pesa ya kiinua mgongo.
Nyumba alimilikisha watoto ambao ndo hao wamemtelekeza kwa hiyo kwa sasa hana uwezo wa kufuatilia tena amekua na tatizo la ugonjwa wa akili na hili limetokea miezi michache baada ya kustaafu ndo mke nae akaanza hapo hapo ukatili dhidi ya mume wake kwa kushirikiana na hao watoto wake. Na pia mzee alikuwa na watoto wengi
 
All women are devils only your mother might be good to you, But she is still a devil to your father.

Mzee mmoja aliniambia kijana hata "Mama" awe mbaya na muovu kiasi gani na Baba awe mzuri kiasi gani, Siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumtetea maovu yake.

As a Man, lazima uwe na "back up plan" ya ku survive individually wakati wowote ule.
Hapo nilipobold hapo, hebu tujadili namna ya kuset hizo plans maana hakuna kitu kibaya uzeeni kama upweke
 
Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
Ndoa ni utapeli.
Mtu unamhudumia. Upo naye nyumba mmoja na unalala naye lk hawezi kukusaidia halafu unajisifu umeoa
 
Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
😃😃 900,000/=
 
Tatizo ni mama yao!! Je unajua mama yao huwa anawaambia nini watoto? Mwombe Mungu yasikukute!! Wanawake wengine ni balaa!!
Unajua hakuna kitu kigumu kama kumjaza mtoto sumu juu ya mzazi especially mtoto anapokuwa na ufahamu wake. Imagine mimi na huu uzee wangu mtu aje anipandikize sumu juu ya mzazi wangu mmh. Labda hao watoto hawana tu akili, wameamua kumtelekeza baba yao
 
Back
Top Bottom