Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Mwanaume ni kama simba dume, ukishazeeka familia itakufukuza/kukuua na dume jingine litachukua mji wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nawaza pia kwa sauti; naamini kuna kitu hakipo sawa. Sio rahisi watoto uliowalea kwa upendo mkubwa maisha yao yote; ghafla leo wakugeuke kwa kuambiwa tu maneno na mama yao. Ninaamini kuna kitu hakipo sawaKuna mambo hayapo wazi kwenye hii story.
Ni lazima mzee kuna kitu alizingua,. Tuseme hajazingua kitu mtu una pesa na mali urukwe na akili kisa mke? Si umtimue watoto wake wamfate huko?
NIni hasa kinampa stress?
Hakuna mtoto ambae alikupenda tangu utoto wake aje kukubadilikia ukubwani bila sababu.
Kuna mambo ya ndani kabisa ambayo hayapo wazi hapa.
AhsanteHiyo sentensi ya mwisho uliyo-bold ni upumbavu! Kosa la mke mmoja mpumbavu haliwezi kuhalalisha ubaya wa kuoa! Ubaya huwa mnafanya reference kwa watu waliofeli!
Endelea kubisha, niandike uongo kwa maslahi ya nani sasa?Mmh aliwajibika kwa watoto na Mama lakini alikimbiwa siyo kweli.
hesabu hesabu hesabu, ukiwa na 60 yy atakuwa na 43 mkuu, kulingana na mfano wako.Tatizo ni hili ukioa oa mwanamke ambaye umri mnakaribiana ili mkizeeka mnazeeka wote saaa wewe una 40 unaoa wa23 Miaka wewe una 60 mwezako ana 35 mtasumbuana tu
Ndoa haina tatizo, tatizo ni la mke!!Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.
Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini
Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.
Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.
Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.
Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.
Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)
Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)
Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao
Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?
Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.
KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELNdoa
Nashindwa sometimes kuelewa nini faida na umuhimu wa ndoa kama mambo yenyewe huwaga hivi.
Kuna mzee mmoja alikua jirani yangu, alikua mhandisi wa shirika moja kubwa hapa nchini
Mzee huyu kutoka kule migombani alioa mke wa migombani pia. Maisha yalikua mazuri wakati mzee bado anafanya kazi.
Alijenga nyumba mikoa mbalimbali na alijitahidi kuwasomesha watoto wake shule nzuri hizi za saint saint.
Watoto wake wote wana shughuli zao nzuri tu.
Baada ya kustaafu hapo ndo akaanza kuona rangi halisi ya mke wake. Kwanza alimtumia wakora wamfanye kitu mbaya ili mke arithi mali mapema bahati nzuri ndugu wa mume wakashtukia mapema mission ikabuma.
Tangu wakati huo mke akaanza kumtenga mume wake na kibaya zaidi hadi watoto wake aliowasomesha wakamtenga baba yao na kumsahau kabisa(sijui mama yao aliwaambia nini)
Dingi akaanza kunyimwa chakula, dingi akakimbiwa chumba na mke wake(alikua anatuambia vijana na kutuhasa juu ya makabila ya kuoa)
Baada ya muda mzee kaanza kurukwa na akili kwa maisha aliyokua anaishi.
Kwa sasa mzee karudi kwao lakini akili yake haiko sawa kaacha mali zote anaishi kijijini kwao. Watoto wake wamemtupa hawana time na baba yao
Je nini hasa wamama wanawaambia watoto wao kiasi cha watoto kuanza kumchukia baba yao na kumtenga ili hali aliwasomesha na kuwalea vizuri na juhudi zake waliziona.?
Hili ni janga kwenye familia nyingi baba akistaafu anaishi maisha magumu ya kunyanyasika juhudi zake zote alizofanya kujenga familia bora zinakua kazi bure anaishia kutengwa na kupata msongo wa mawazo na mwisho kufa.
KATAA NDOA NI UUAJI NA UTAPELI
Mimi nimeona mzee akitelekezwa na watoto baada ya kustaafu!! Akawa anatembea mitaani kuomba omba buku!!Endelea kubisha, niandike uongo kwa maslahi ya nani sasa?
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Tatizo ni mama yao!! Je unajua mama yao huwa anawaambia nini watoto? Mwombe Mungu yasikukute!! Wanawake wengine ni balaa!!Nilikuwa nawaza pia kwa sauti; naamini kuna kitu hakipo sawa. Sio rahisi watoto uliowalea kwa upendo mkubwa maisha yao yote; ghafla leo wakugeuke kwa kuambiwa tu maneno na mama yao. Ninaamini kuna kitu hakipo sawa
Nyumba alimilikisha watoto ambao ndo hao wamemtelekeza kwa hiyo kwa sasa hana uwezo wa kufuatilia tena amekua na tatizo la ugonjwa wa akili na hili limetokea miezi michache baada ya kustaafu ndo mke nae akaanza hapo hapo ukatili dhidi ya mume wake kwa kushirikiana na hao watoto wake. Na pia mzee alikuwa na watoto wengi
Hapo nilipobold hapo, hebu tujadili namna ya kuset hizo plans maana hakuna kitu kibaya uzeeni kama upwekeAll women are devils only your mother might be good to you, But she is still a devil to your father.
Mzee mmoja aliniambia kijana hata "Mama" awe mbaya na muovu kiasi gani na Baba awe mzuri kiasi gani, Siku zote watoto watakuwa upande wa Mama kumtetea maovu yake.
As a Man, lazima uwe na "back up plan" ya ku survive individually wakati wowote ule.
Ndoa ni utapeli.Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
😀 😀 mnania gani nasisi kwanza ndio nijue nitasuka au nitanyoa?Mdogowangu OA acha hizo 😀😀
😃😃 900,000/=Kuna jamaa yangu alikua benchi,hata hela ya kula hana,anadaiwa kodi,.jamaa anahangaika kukopa ili asogeze siku hadi apate mishe, mke wake anamchora tu na kumpa moyo,jamaa akakuta kabatini mwanamke kaficha laki tisa,.900000/= nyekundu tupu..jamaa kapita nazo kimya kimya,.
Unajua hakuna kitu kigumu kama kumjaza mtoto sumu juu ya mzazi especially mtoto anapokuwa na ufahamu wake. Imagine mimi na huu uzee wangu mtu aje anipandikize sumu juu ya mzazi wangu mmh. Labda hao watoto hawana tu akili, wameamua kumtelekeza baba yaoTatizo ni mama yao!! Je unajua mama yao huwa anawaambia nini watoto? Mwombe Mungu yasikukute!! Wanawake wengine ni balaa!!
Hela yake ya ustaafu aliipeleka wapi?Mimi nimeona mzee akitelekezwa na watoto baada ya kustaafu!! Akawa anatembea mitaani kuomba omba buku!!